AG awaonya TUCTA kujihusisha na siasa

serikali inadai kuongeza mishahara kwa asilimia mia moja na saba ukilinganisha na kiwango cha 2005,wakati huo sukari tu imeongezeka kwa aslimia 300 ukilinganisha na 2005,hapa ni sukari na sitaki kuzungumzia mfumuko ktk mambo mengine,je ni ongezeko la mishahara au masihara?wafanyakazi tusidanganyike

Kwa kweli haya ni masihara makuu..
 
CCM wanaweweseka sana..hahaaaa ndo shida ya kuwa na Rais mropokaji asiye na tafakuri kabla ya kusema

Hiyo comment JK mwenyewe aliithibitisha, kwa kumnukuu "Mzee Mkapa aliponichagua kuwa waziri wa mambo ya nje mwaka 1995 nilimwambia mzee mimi ni mropokaji nisije nikakuharibia"... Wale waliongalia acceptance speech ya JK siku ile chimwaga wataukumbuka mstari huu.
 
CCM kwa kweli inahitaji reality check, sasa nini maana ya dhamana ya uongozi tuliowapa au nini maana ya kupiga kura? wamefikia hatua ya kudhani Tanzania imejaa apes (those without reasoning ability).Wamezoea vibaya sana kiasi kwamba haki za wananchi hawazielewi na wala ni akina nani mabosi zao. Labda wanadhani people vote for the sake of it na wao ni viongozi kama vile tupo kwenye jamii ya mchwa.

Wanaletewa Siasa kidogo tu hawajui chakufanya zaidi ya kutumia 'old tricks', it is a demonstration tuliowapa dhamana wamesahau wajibu wao. Yaani hawajui hata wapiga kura hupiga kwa kuangalia maslahi yao na sio kwa huo so-called huu-handsome wa mtu. Na kama huwatumikii walio kuchagua ni wajibu wao pia kumtafuta mwingine na si vitisho kama hivi wanavyotaka leta.

TUCTA hawana kosa hata moja la kulaumiwa ni wajibu wao kumdhamini wanaemuona atawafaa, na wakulima kama wangekuwa na chama chao wanahaki hiyo na group yoyote ina haki hiyo ndio maana ya kuwachagua viongozi wanayo ifaa jamii. Viongozi wanao elewa nini kazi zao ni kuangalia maslahi ya wapiga kura. Na anahitajika wakuwa aamsha waliliolala hili hawa nao wawe represented kwenye uchaguzi huu, wale wanaokosa shule, wale wanao jifungua huku wamelazwa kwenye mikeka mahospitalini wote hao wanahitaji kuwa represented. Apparently CCM is not concerned huko nako.

Forget about Trade Union Support's in politics, the Labour party was founded as an umbrella for trade unions in the first place because of the same reasons facing us today in our mainland politics. Leaders who have lost touch with reality, amazing wameanza na mambo ya nepotism sasa. Maana hata hizo kingdoms sasa zinauwa huu utamaduni, si ajabu vitisho wanaona ni sawa iwapo uongozi wao unaulizwa? uongozi ambao tumewapa under the constitution.

GO TUCTA GO
 
serikali inadai kuongeza mishahara kwa asilimia mia moja na saba ukilinganisha na kiwango cha 2005,wakati huo sukari tu imeongezeka kwa aslimia 300 ukilinganisha na 2005,hapa ni sukari na sitaki kuzungumzia mfumuko ktk mambo mengine,je ni ongezeko la mishahara au masihara?wafanyakazi tusidanganyike

Kweli kabisa Mkuu..............hili ni jambo ambalo wafanyakazi tunatakiwa kulielewa.............

.........kuongeza mishahara kinyemela ni hatari......inaonyesha ni jinsi gani serikali isivyokuwa na mipango adhimu kuhusu bajeti...........
.........sustainability ya mishahara hiyo ikoje?...........ni wazi kuwa kodi lazima zipande
.........ni wazi kuwa inflation itaongezeka na kufanya ongezeko hilo lisilona mpango kuwa ni KANYABOYA..............

serikali INATHIBITISHA WAZI KUWA IMESHINDWA uongozi.........na hivyo hawafai..................

tuwape ridhaa ya nchi yetu watu WATAKAOTUONGOZA NA SI KUTUTAWALA KIPUMBAVU NAMNA HII.............
 
CCM imechemsha big time katika utawala wake. Kuna mambo mengi sana ambayo wananchi wote si wafanyakazi tu wanataka yatolewe majibu yanayoeleweka. Hili suala la wafanyakazi limekuja baada ya mengine kutokea.

Jinamizi kubwa linaliisumbua CCM ni UFISADI WA KUTISHA ndani ya chama, RUSHWA na KULINDANA.

Wananchi wanataka kuona CCM inawachukulia hatua madhubuti wahusika wa RICHMOND, DEEP GREEN, MEREMETA, EPA, KIWIRA, MZEE WA VISENTI.

Suala la wafanyakazi kuomba nyongeza imekuja tokana na ukweli kwamba wafanyakazi wana hali ngumu sana ya maisha huku pesa ya nchi ikiliwa na kuibiwa na wachache ambao wanajulikana na serikali lakini hawachulikiwi hatua yoyote.

Wananchi wengi ndani ya Tanzania wameichoka CCM, wamechoshwa na machafu ya CCM. Hivyo ni busara kufanyika mabadiliko ndani ya Tanzania, maana hakuna uwezekano wa kufanyika mabadiliko yenye nia nzuri kwa Tanzania na watanzania ndani ya CCM.
 
View attachment 12525

Tucta's stance on presidential candidates:WRONG IN PRINCIPLE!

MY eye brows were raised, and I believe the eye brows of most informed and fair minded people, upon the announcement that the union of trade unions in this country known as the Trade Union Congress of Tanzania (TUCTA) is poised to name the presidential candidate it favours at its forthcoming general meeting scheduled for Dar es Salaam next month.

According to a news account, in case you missed the story, the Acting TUCTA Secretary-General, one Nicholas Mgaya, has announced that unions forming the umbrella Congress, which is Tucta, would be asked 'who among the presidential aspirants had the interest of Tanzanian workers at heart before formally deciding who the umbrella group would ask workers of this country to cast their votes in his favour'.

''We cannot force aspirants to accept our votes if they don't want them, so we will find out who wants our votes,'' one English daily quoted Mr Mgaya as saying.

He was apparently alluding to remarks made by incumbent President Jakaya Kikwete who was widely quoted as saying at a meeting of Dar es Salaam elders in May, this year, that he would rather lose workers' votes if it meant granting their demands without taking into account other equally pressing national needs.

He was quoted as saying even if the government were to decide to pay the proposed wages as demanded by the congress of trade unions, it would effectively mean that other development projects and social services would have to miss government funding, the alternative of which would be for the government of the day to borrow heavily to make up for the deficit.

The President had argued then that since government revenues derived from taxpayers' money, money derived from taxation is for all Tanzanians.

For this reason, said the President, he was not ready to accede to the unions' demand to hike the minimum wage to the figure of 315,000/- per month as demanded by the unions at the expense of 39 million other people not in salaried employment countrywide.

So here we have two sides of the coin of the story. The allied trade union movement, Tucta, in the letter and spirit of all trade union movements everywhere pressing for increased salaries and other benefits for workers, and the President explaining why his government would not concede to the demands.

Looking at the arguments of both sides, a positive element here is that there is a give and take in the arguments, and the conclusion is, of course, subject to one's interpretation.

Informed people everywhere know that employers and their employees are not always a happy lot much less those in the middle - advocates for employees, the trade union movements. Inevitably, tussles are there and sometimes-violent ones. It is normal.

Following the President's response to the demands of workers as represented by Tucta, one may be tempted to conclude that the remarks of the President were a little impolitic, but that would not be assumed as the opinion of everybody.

But for a trade union to come up and say in the countdown to General Elections that it was going to name a candidate it favours, and ask workers to vote for that person is wrong as a matter of principle.

The reason is simple. It is not the conventional role of a trade union. It is the mandate of political parties because they are the ones in the competing field and not a trade union movement.

It would have been a different matter, of course, were it common knowledge that Tucta was allied to one political party in the polity as some trade union movements are known to be elsewhere. Now why this sudden stance by Tucta to take sides in the competing political parties?

Making a flashback of the history of this country's trade union movement, especially in post multiparty era, trade unions have always stuck to their conventional role of a trade union movement with no alliances to political parties leaving it to the conscience of individual workers as to who or which party to cast their votes.

So the current stance by Tucta is both unprecedented and unfortunate. Someone somewhere should stand up and say firmly and strongly: Tucta you are wrong here unless you have something else up your sleeves. I am saying so today!

E-mail: makwaia@bol.co.tz

Huyu mzee anamatatizo huwa anaendesha kipindi cha nusu saa akini yeye anaongea dakika 25 mgeni dakika 5.
By the way ata jinge(Taarabu) ya kipindi chake nikisikiaga huwa nacheka tu. Pole mzee wangu ia habari ndio hiyo RAISI WAKO HAPATI KURA YANGU MIMI MFANYAKAZI.
 
Hivi mbona mnakuwa wepesi wa kusahau historia?Je miongoni mwa forces zilizochangia uhuru wetu sio vyama vya wafanyakazi?Au hiyo ilikuwa ni dini na sio siasa?

Na je TUCTA wangekuwa wrong too kama wangesema wanamsapoti Kikwete na CCM yake?

It's ridiculous kwa mtu anayejiita mfanyakazi like you kuilaumu TUCTA eti kwa vile tu wamesema wataweka bayana mgombea wanayeamini atajali maslahi yao! Hivi kama wewe ni mfanyakazi kweli uko radhi maslahi yako yaendelee kuwa kijungujiko huko mawaziri na wabunge wakitengeneza equivalent of ur salary in a day in terms of posho?

By the way mbona vyama vipo vingi kama hataki affiliation na TUCTA si hamie FIBUCA wale walio andamana mnazimmoja!.
 
Wewe ndio unatakiwa kukaa kimya ulitakiwa useme kipi nilichokosea na ukweli halisia ni upi,Ila kwa kuwa uko kwa kazi maalum kuakikisha unaitetea CCM na watu wake no matter what ndio maana unasema nikae kimya bila kubainisha where I went wrong.
Inasikitisha sana ,ila ndio hivyo njaa mbaya labda ndio dhiki inakufanya ubonyeze keyboard .
Jibu hoja wewe acha kulia lia ovyo .

Hama sababu ya kubishana na mtu cha muhimu angalia karegister lini kwenye JF utagundua tu kuwa ni katumwa na wanaomuweka mjini.
 
anayefahamu sheria ambayo tucta watakuwa wameivunja kama wakitoa endorsement yao kwa mgombea urais tafadhali atuwekee hapa.

Masaju ananikumbusha kawaida ya zamani ya ccm. Ati tucta inataka kuvuruga amani. Yaani kikundi kikisema kingependa nani awe rais tayari kimevuruga amani?

Kwa nini watu kama masaju, werema na wengine ambao bado wamegubikwa na kasumba ya zamani ya kusema usipounga ccm mkono basi unavuruga amani wawe na nafasi ambazo zinahitaji kutofungamana na upande wowote?

Naomba vikundi vingine kama vyama vya wanafunzi wa vyuo vikuu na udasa navyo vijitokeze viseme vitataja ni nani vingependa awe rais. Yaani wamlize masaju zaidi.

mbona kakobe na maaskofu waliposema kikwete chaguo la mungu amani haikuvurugika?
 
tatizo TUCTA wanalilia hela za kunywea bia na kuhonga sio maisha magumu!Mgaya kila siku tupo nae kwenye kilaji,amchague Rais atakaye mjaza manoti.kwa ninavyojua mtu yoyote hata umpe hela kiasi gani haridhiki.au nani aseme anaridhika na kiasi gani cha fedha???hakuna!!!!!!!!!!!!!!!

Simplle umejoini JF jana sijuhi kwahiyo hizo pumba zako sishangai
 
Hivi mbona mnakuwa wepesi wa kusahau historia?Je miongoni mwa forces zilizochangia uhuru wetu sio vyama vya wafanyakazi?Au hiyo ilikuwa ni dini na sio siasa?

Na je TUCTA wangekuwa wrong too kama wangesema wanamsapoti Kikwete na CCM yake?

It's ridiculous kwa mtu anayejiita mfanyakazi like you kuilaumu TUCTA eti kwa vile tu wamesema wataweka bayana mgombea wanayeamini atajali maslahi yao! Hivi kama wewe ni mfanyakazi kweli uko radhi maslahi yako yaendelee kuwa kijungujiko huko mawaziri na wabunge wakitengeneza equivalent of ur salary in a day in terms of posho?
Watanzania kama kawaida tu wepesi sana wa kusahau. Uhuru wetu uliletwa kupitia vuguvugu la vyama vya wafanya kazi kwa kipindi hicho cha miaka ya 50. Kama ulivyosema, tatizo hapo limekuja tu pale ilivyoonekana TUCTA hawako upande wa CCM, maana kama ingekuwa hivyo, wala usingesikia kauli hizi zinazoendelea kutamkwa na watu kama akina Tambwe, Kaimu Katibu Mkuu utumishi pamoja na Mwanasheria Mkuu wa serikali. Wote hao, wananufaika na manyanyaso tuyapatayo wafanyakazi kwa kupewa mishahara kiduchu wakati wao wakinufaika na mapesa mengi kila mwisho wa mwezi.

Lakini pia nafasi hizo wamezipata kwa kupitia njia ya urafiki na uanachama wa CCM, hivyo kutoa kauli kama hizo ni suala la kawaida kwao! Watambue kwamba, Tanzania baada ya kuwa kwenye uhuru sasa takribani miaka 50, wananchi tunaona bado hatuna uhuru tena, hivyo vuguvugu la makundi mbalimbali ikiwemo TUCTA ni moja ya njia mbadala katika kuleta ukombozi wa kweli kiuchumi, siasa na kijamii.
 
Nakumbuka ktk awamu ya 3 baadhi ya viongozi wa kijamii waliwahi kushtakiwa kwa kosa la kushawishi watu kufanya maandamano, mgomo au hata kushawishi jamii kukataa jambo fulani kwa maslahi yake au kwa maslahi ya jamii chache.
jee kwanini mgaya ambae anawatia hamasa wafanyakazi nae asikamatwe na kushatakiwa ?

Mbona wale waliohamasisha na kufanya fujo Mwembe chai bado wanapeta?
 
sasa serikari inafyata mkia wake,imeongeza mshahara kimyakimya huku wakiendelea na tishia nyau yao huku mlengwa mkuu akiwa mgaya,nani mwongo,mfitini,mzindaki kati ya serikari na mgaya?wameogopa kunyimwa pilau la mgaya kama alivyowaambia,wamepandisha mishahara,kaza buti mtetezi wa wafanyakazi,najua ukitoa tena msimamo wako kima cha chini kitakuwa laki 5,pesa ipo,mgaya wewe ni shujaa,wafanyakazi msidanganyike
 
Aibu tupu watu wazima hovyoooooooooooo nyongeza ya mshahra nayo mwaifanya iwe siri.
CCM hii itakuwa rushwa yaani mumewahonga wafanya kazi tuume ya uchaguzi mko wapiiiiiiiiiiiii.
Wataalamu wa sheria hamna namna tukawabana CCM kwa hongo hii maana kwa PCB apa naona ni maji ya shingo
 
wafanya kazi angalieni msije mkatumika ngazi ya kupandia ikulu,
hakuna urafiki wa namna hiyo harafu ukawa na mwisho mwema

kumbukeni kuwa ni heri kula ugali na chunvi kwenye amani,
kuliko kula wali na nyama kwenye nyumba yenye masengenyo,

mshenzi ni mshenzi tu hata akiva kanzu na barghashia,
wasivae hijabu mbele yenu huku ni mafirauni rohoni
 
mgaya pamoja na sylivesta rwegasira ni wapambanaji wa haki za wafanyakazi kwa hiyo ni mashujaa kikwete ongeza mshahara ila hatudanganyiki kwani umelikoroga utalinywaaa
 
Back
Top Bottom