GreaTthinkers,
Habari hii ni njema na nyeti sana,
Dk Ulimboka afya yake inaendelea vizuri, uwezekano wa kuruhusiwa august ni mkubwa ila hatarusiwa kufanya kazi kwa miezi sita. baada ya hapo atarejea hospitali kwa uchunguzi tena.
''Nikirudi nyumbani nitaongea na waandishi wa habari kila mtu asikie,siogopi kufa mara ya pili. Cha msingi kila mtu aelewe kilichotokea''
Please naomba ulinzi uimarishwe, wasije wakamdhuru dk anayepigania huduma bora hospital likiwemo kina mama wajawazito wasilale wanne ktk kitanda kimoja.
Thanks
Spencer@Boksburg(SA)
Angalia tunakuombea,ukija wakuone kwa uzuri wakupe villa huko new jersey kama Balali upoteee.ULIMBOKA USIPOKEE BRIFCASE ILA ITAKUWA FARAJA UKITUTHIBITISHIA JUU YA MSANGI HEMED NA JACK ZOKA...mjomba uli napenda kukueleza kuwa kova nae kajiingiza kichwa kichwa.
Umofia kwenu all igwe,habari njema hii,Spencer imarisheni ulinzi huko SA na pia dose yeyote anayopewa lazima nyie wote muhiakiki! Kova Zoka msangi Side mnyamwezi imekula kwenu
GreaTthinkers,
Habari hii ni njema na nyeti sana,
Dk Ulimboka afya yake inaendelea vizuri, uwezekano wa kuruhusiwa august ni mkubwa ila hatarusiwa kufanya kazi kwa miezi sita. baada ya hapo atarejea hospitali kwa uchunguzi tena.
''Nikirudi nyumbani nitaongea na waandishi wa habari kila mtu asikie,siogopi kufa mara ya pili. Cha msingi kila mtu aelewe kilichotokea''
Please naomba ulinzi uimarishwe, wasije wakamdhuru dk anayepigania huduma bora hospital likiwemo kina mama wajawazito wasilale wanne ktk kitanda kimoja.
Thanks
Spencer@Boksburg(SA)
Nashauri aje na kinasa sauti chake, waandi watarekodi kutoka kwenye spika.je wakina zoka wakitumia vinasa saut as waandish na kuweka thumu????
GreaTthinkers,
Habari hii ni njema na nyeti sana,
Dk Ulimboka afya yake inaendelea vizuri, uwezekano wa kuruhusiwa august ni mkubwa ila hatarusiwa kufanya kazi kwa miezi sita. baada ya hapo atarejea hospitali kwa uchunguzi tena.
''Nikirudi nyumbani nitaongea na waandishi wa habari kila mtu asikie,siogopi kufa mara ya pili. Cha msingi kila mtu aelewe kilichotokea''
Please naomba ulinzi uimarishwe, wasije wakamdhuru dk anayepigania huduma bora hospital likiwemo kina mama wajawazito wasilale wanne ktk kitanda kimoja.
Thanks
Spencer@Boksburg(SA)
when GOD says YES!!! zoka,msangi, yule chizi na kikwete wote mtaumbukaje jamani?? shame upon this government!