Afunga Ndoa na Punda

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,153
13,223
12654291_210519549297113_6124320317497157837_n.jpg
 
Sio vituko huku ni kuumwa angekuwa mweusi angepewa majina yote mabaya angeitwa chizi mwanga mshirikina na angehusishwa na umaskini wa Africa kuwa hatuendelei kwa ajili ya mambo kama hayo
inawezekana kaamua tu ka yule demu aloolewa na mbwa

ni kweri km mbongo au afrcan ndo hivyo angeambiwa mashart ya mganga
kumbe smtyme mtu na akiri yake mbovu uamua tu anachoona yeye kinafaa
 
Atamfikisha huyo punda!!!!? Maana mzee punda ana rombo ndefu kweli,au yeye mjukuu wa punda?
 
Kwa wazungu huko haki sawa ya mwanamke imefikia kiwango cha juu mno kiasi ya kwamba hata kufunga nao ndoa ni kero, wanaume wanatafuta suluhisho za hovyo kama hizo. Huo upuuzi wa haki sawa naona unakuja kwa kasi Afrika. Watu wajiulize kwa nini Pdidy wa USA mpaka sasa hataki ndoa.
 
sasa hiyo kojoleo ya jamaa itatoshaje kwa kojoleo ya punda nae punda kazoa mguu wa mtoto?
 
Mleta mada Malizia kwa kueleza kafungia ndoa kanisa lipi. Maana ni makanisani tu ndiyo wanaruhusu ndoa hizo za kishetani, mara wanafungisha ndoa binadamu na mbwa, wasenge na mabasha, wasaganaji na kila aina ya uozo utaupata huko. Hata hao wachungaji wa mbwa na kondoo nayo mijadume utakuta inaoana.

Laana.
 
Mleta mada Malizia kwa kueleza kafungia ndoa kanisa lipi. Maana ni makanisani tu ndiyo wanaruhusu ndoa hizo za kishetani, mara wanafungisha ndoa binadamu na mbwa, wasenge na mabasha, wasaganaji na kila aina ya uozo utaupata huko. Hata hao wachungaji wa mbwa na kondoo nayo mijadume utakuta inaoana.

Laana.
Doooh ,Anyway sio mbaya sana ni stress za Jakaya hizi zitaisha tu Magufuli hataki wapishi pale ,ulichobakiwa nacho sasa ni udini tu
Mimi nipo outdated ni kanisa lipi lilifungisha ndoa ya binadamu na mbwa ????
 
Mleta mada Malizia kwa kueleza kafungia ndoa kanisa lipi. Maana ni makanisani tu ndiyo wanaruhusu ndoa hizo za kishetani, mara wanafungisha ndoa binadamu na mbwa, wasenge na mabasha, wasaganaji na kila aina ya uozo utaupata huko. Hata hao wachungaji wa mbwa na kondoo nayo mijadume utakuta inaoana.

Laana.
 
Doooh ,Anyway sio mbaya sana ni stress za Jakaya hizi zitaisha tu Magufuli hataki wapishi pale ,ulichobakiwa nacho sasa ni udini tu
Mimi nipo outdated ni kanisa lipi lilifungisha ndoa ya binadamu na mbwa ????
Hukupaswa kujibu chochote UncleBen it's a waste of your useful energy n time
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom