Kuna mikoa unaenda mara unatishika, watu wanachomana visu, kila bar lazima ugomvi utokee.
Wasichana wanavuta bangi, wanapigana na punda hadi punda anakufa.
Dar-es-Salaam.
Kuja eneo hili ni kwa sababu tu INABIDI.
Ila ni mkoa wa hovyo kupindukia.
Joto la hatari.
Mji unanuka, harufu ya ajabu.
Usafiri ni 'mkiki'
N.k n.k.
Tanzania yote ni nzuri hakuna sehemu ambayo sitaki kurudi tena. Sema mji wa Bukoba nadhani ndo mji wa hovyo kuliko miji yote ya Tanzania. Lindi nako sijajua paliwezaje kuwa manispaa wakati ni mji unaonuka umaskini. Ndo mji niliona gesti imefunguliwa na kiongozi wa mbio za mwenge kama mradi wa maendeleo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.