Afrika tunaomba Mungu wa Israel atulinde. Israel inalindwa na mitambo ya teknolojia ya hali ya juu kuzuia mashambulizi ya anga

Iron Dome ni mfumo wa ulinzi wa kisasa wa anga ambao ni bora na mathubuti kwa dunia ya leo uliotengenezwa na Israel kwa msaada kiasi kutoka Marekani kwa lengo la kulinda dhidi ya makombora yaliyofyatuliwa kutoka kwenye maeneo ya adui.

Mfumo huu ulianza kutumika rasmi mwaka 2011 na umekuwa sehemu muhimu ya ulinzi wa Israel dhidi ya vitisho vya makombora.

Iron Dome inafanya kazi kwa njia ifuatayo:



Kuchunguza: Mfumo huu una vituo vya radar vilivyosambazwa kote nchini Israel. Vituo hivi vinachunguza anga kwa kutambua makombora yanayotoka upande gani wa adui. Mara tu kombora linapogundulika, taarifa zote kuhusu harakati za mwelekeo hupitishwa katika kituo cha udhibiti wa mfumo.



Uchambuzi: Kituo cha udhibiti wa mfumo hufanya uchambuzi wa mwelekeo na harakati za kombora, ikiwa ni pamoja na kujua ni tishio la moja kwa moja kwenda maeneo ya raia au lah, hivyo mfumo huu unaweza kutambua kama kombola limaelekea maeneo yenye watu au yasiyo na watu. Kwa kuzingatia taarifa hizi, uamuzi wa ikiwa kuangusha kombora hilo au lah hufanywa. Kama haliendi kwenye makazi ya watu basi mfumo huo uachana na kombora hilo.



Kutungua: Ikiwa uamuzi wa kuangusha kombora unafanywa, mfumo wa Iron Dome unatumia makombora ya kudungua angani ambayo yanasafirishwa kwa kasi na kurushwa kuelekea uelekeo wa kombora la adui. Makombora haya yana teknolojia ya kipekee inayowezesha kuyagundua na kuyashambulia makombora ya adui hewani. Mfumo huu ukigundua kombora lenye tishio kwa raia au maeneo ya watu, mara moja utuma makombora ambayo yataenda kugongana na kombora la Adui angani na kisha kulipuka huko huko angani.



Kugundua mabaki: Baada ya makombora ya Iron Dome kudungua kombora la adui, mfumo huu unafuatilia vipande vilivyosalia vya kombora hilo na kuhakikisha kuwa hayana uwezo wa kuleta madhara.

Mfumo wa Iron Dome umethibitisha ufanisi wake katika kulinda maisha na mali za raia wa Israel dhidi ya vitisho vya makombora kutoka kwa makundi kama Hamas na Hezbollah. Hata hivyo, ni mfumo unaogharimu sana na hutumia rasilimali nyingi kwa kila kombora lililolengwa.



IRON DOME utumika kupambana na kutungua makombora ya umbali mfupi yani short range missiles. Huku kwa makombora ya masafa ya kati na masafa marefu (medium range and long range missiles) mfumo mwingine wa kujilinda ujulikanao kama ARROW SYSTEM hutumika kutungua na kuyaharibu makombora ya adui yakiwa angani. Hivyo mifumo hii miwili usaidia kulinda makazi ya watu dhidi ya mashambulizi ya makombora.
Unafikirisha sana, imani fumbo kubwa sana!
 
Iron Dome ni mfumo wa ulinzi wa kisasa wa anga ambao ni bora na mathubuti kwa dunia ya leo uliotengenezwa na Israel kwa msaada kiasi kutoka Marekani kwa lengo la kulinda dhidi ya makombora yaliyofyatuliwa kutoka kwenye maeneo ya adui.

Mfumo huu ulianza kutumika rasmi mwaka 2011 na umekuwa sehemu muhimu ya ulinzi wa Israel dhidi ya vitisho vya makombora.

Iron Dome inafanya kazi kwa njia ifuatayo:



Kuchunguza: Mfumo huu una vituo vya radar vilivyosambazwa kote nchini Israel. Vituo hivi vinachunguza anga kwa kutambua makombora yanayotoka upande gani wa adui. Mara tu kombora linapogundulika, taarifa zote kuhusu harakati za mwelekeo hupitishwa katika kituo cha udhibiti wa mfumo.



Uchambuzi: Kituo cha udhibiti wa mfumo hufanya uchambuzi wa mwelekeo na harakati za kombora, ikiwa ni pamoja na kujua ni tishio la moja kwa moja kwenda maeneo ya raia au lah, hivyo mfumo huu unaweza kutambua kama kombola limaelekea maeneo yenye watu au yasiyo na watu. Kwa kuzingatia taarifa hizi, uamuzi wa ikiwa kuangusha kombora hilo au lah hufanywa. Kama haliendi kwenye makazi ya watu basi mfumo huo uachana na kombora hilo.



Kutungua: Ikiwa uamuzi wa kuangusha kombora unafanywa, mfumo wa Iron Dome unatumia makombora ya kudungua angani ambayo yanasafirishwa kwa kasi na kurushwa kuelekea uelekeo wa kombora la adui. Makombora haya yana teknolojia ya kipekee inayowezesha kuyagundua na kuyashambulia makombora ya adui hewani. Mfumo huu ukigundua kombora lenye tishio kwa raia au maeneo ya watu, mara moja utuma makombora ambayo yataenda kugongana na kombora la Adui angani na kisha kulipuka huko huko angani.



Kugundua mabaki: Baada ya makombora ya Iron Dome kudungua kombora la adui, mfumo huu unafuatilia vipande vilivyosalia vya kombora hilo na kuhakikisha kuwa hayana uwezo wa kuleta madhara.

Mfumo wa Iron Dome umethibitisha ufanisi wake katika kulinda maisha na mali za raia wa Israel dhidi ya vitisho vya makombora kutoka kwa makundi kama Hamas na Hezbollah. Hata hivyo, ni mfumo unaogharimu sana na hutumia rasilimali nyingi kwa kila kombora lililolengwa.



IRON DOME utumika kupambana na kutungua makombora ya umbali mfupi yani short range missiles. Huku kwa makombora ya masafa ya kati na masafa marefu (medium range and long range missiles) mfumo mwingine wa kujilinda ujulikanao kama ARROW SYSTEM hutumika kutungua na kuyaharibu makombora ya adui yakiwa angani. Hivyo mifumo hii miwili usaidia kulinda makazi ya watu dhidi ya mashambulizi ya makombora.
Very interesting

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mungu wa Israel ni mungu wa Mayahudi. Na wala siyo huyu Mungu ninaye muamini mimi.
Na ndiyo maana hata hao Mayahudi hawaamini kama Yesu Kristo alikuwa ni Mwana wa Mungu.

Mayahudi ni majitu makatili tu. Na kwa sababu yamekutana na wababe wao wa Hamas, wacha yanyooshwe tu.
Kiongozi wangu hivi upo serious kweli? Mayahudi yananyooshwa na Hamas?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hao wana makubaliano an mataifa ya NATO kimikataba pamoja na UN Kuwa watailinda Israel Kwa namna yoyote na ndio kiburi au jeuri inaanzia hapa

Na Ndio maana unaona mataifa yote makubwa yamesema wazi na wana peleka misaada kwa waisrael

Waisrael miaka nenda rudi wamekuwa wakiwaadhibu vilivyo hawa wapalestine na hakuna kauli utasikia ya kukemea toka upande ambao ndio huwa una jinasibu kutetea haki nk
Uchina, urusi, Iran na North Korea ni mataifa madogo yanayoisapoti parestina? Vijana wa mudi punguzeni ujuha

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Katika kuichambua hukusema Iron dome inawachuliaje wapiganaji wa Hamas wakipaa juu na paragliders.Au ni mpaka toleo lijalo.Na pia hukusema Iron dome huwa ina uwezo kuangusha makombora mangapi yawapo angani na kwamba huenda kuna muda inazidiwa.
Wanasema sisi tuba Allah ao wana iron dom.
Sasa Allah muweza ya yote mbona haonekani sasa hivi kakimbia. Aende Gaza sasa hivi awakomboe wapalestina kwasababu kila kitu Allah akbar aende sasa awalinde na kuwasaidia.
 
Kiongozi wangu hivi upo serious kweli? Mayahudi yananyooshwa na Hamas?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ngoja waingize jeshi lao Gaza, halafu uone kitakacho tokea. Mbona hata sasa hivi hao Mayahudi wanaua tu Wapalestina wasio na hatia!! Wahuni wamewavamia ndani kwao, wakafanya walichotaka! Na kuondoka na mateka.

Cha kishangaza hao Mayahudi badala ya kupambama na Hamas, wameona bora waishambulie Gaza kwa makombora, huku wakiharibu majengo na kuua raia wasio na hatia. Hii tayari ni dalili ya kushindwa kwa Zionists (Mayahudi).
 
Mungu ni kitu gani? Halafu,Mungu huyo unaemjua mwenyewe,wa Bongo ni msenge kazi ya ulinzi hawezi? Au ni mlevi hajitambui! Sasa huyo wa Israel nae kalala fofofo watu wanachinjwa akiwepo huko akisaidizana na mitambo uisemayo, akija huku kabisa si ndo atapigwa rungu? Dunia ya leo si mchezo ujue. Yule dogo wa fundi selemara huko Yeluzaremu,si nasikia kuna watu aliwaahidi kwamba angerudi na singechelewa? Nani anajua chocho alopitia?
 
Iron Dome ni mfumo wa ulinzi wa kisasa wa anga ambao ni bora na mathubuti kwa dunia ya leo uliotengenezwa na Israel kwa msaada kiasi kutoka Marekani kwa lengo la kulinda dhidi ya makombora yaliyofyatuliwa kutoka kwenye maeneo ya adui.

Mfumo huu ulianza kutumika rasmi mwaka 2011 na umekuwa sehemu muhimu ya ulinzi wa Israel dhidi ya vitisho vya makombora.

Iron Dome inafanya kazi kwa njia ifuatayo:



Kuchunguza: Mfumo huu una vituo vya radar vilivyosambazwa kote nchini Israel. Vituo hivi vinachunguza anga kwa kutambua makombora yanayotoka upande gani wa adui. Mara tu kombora linapogundulika, taarifa zote kuhusu harakati za mwelekeo hupitishwa katika kituo cha udhibiti wa mfumo.



Uchambuzi: Kituo cha udhibiti wa mfumo hufanya uchambuzi wa mwelekeo na harakati za kombora, ikiwa ni pamoja na kujua ni tishio la moja kwa moja kwenda maeneo ya raia au lah, hivyo mfumo huu unaweza kutambua kama kombola limaelekea maeneo yenye watu au yasiyo na watu. Kwa kuzingatia taarifa hizi, uamuzi wa ikiwa kuangusha kombora hilo au lah hufanywa. Kama haliendi kwenye makazi ya watu basi mfumo huo uachana na kombora hilo.



Kutungua: Ikiwa uamuzi wa kuangusha kombora unafanywa, mfumo wa Iron Dome unatumia makombora ya kudungua angani ambayo yanasafirishwa kwa kasi na kurushwa kuelekea uelekeo wa kombora la adui. Makombora haya yana teknolojia ya kipekee inayowezesha kuyagundua na kuyashambulia makombora ya adui hewani. Mfumo huu ukigundua kombora lenye tishio kwa raia au maeneo ya watu, mara moja utuma makombora ambayo yataenda kugongana na kombora la Adui angani na kisha kulipuka huko huko angani.



Kugundua mabaki: Baada ya makombora ya Iron Dome kudungua kombora la adui, mfumo huu unafuatilia vipande vilivyosalia vya kombora hilo na kuhakikisha kuwa hayana uwezo wa kuleta madhara.

Mfumo wa Iron Dome umethibitisha ufanisi wake katika kulinda maisha na mali za raia wa Israel dhidi ya vitisho vya makombora kutoka kwa makundi kama Hamas na Hezbollah. Hata hivyo, ni mfumo unaogharimu sana na hutumia rasilimali nyingi kwa kila kombora lililolengwa.



IRON DOME utumika kupambana na kutungua makombora ya umbali mfupi yani short range missiles. Huku kwa makombora ya masafa ya kati na masafa marefu (medium range and long range missiles) mfumo mwingine wa kujilinda ujulikanao kama ARROW SYSTEM hutumika kutungua na kuyaharibu makombora ya adui yakiwa angani. Hivyo mifumo hii miwili usaidia kulinda makazi ya watu dhidi ya mashambulizi ya makombora.
Mkuu nisaidie Kuniuliza je, na zile Fremu zilizojengwa Kishamba, Kipuuzi na Kienyeji pale Kambini Lugalo Kawe mkabala na Dawasco na Posta pamoja na ule Ukumbi wao Uliopinda kama Mbanio wa Sufuria ya Makande wa DAR SERVICE PARK zinalindwa na Teknolojia gani dhidi ya Maadui wenye Akili Kubwa kuliko Wao?
 
Ukifuatilia tafrani zilizopo duniani utagundua Kabisa uwepo wa kiumbe kinachoitwa Mungu ni utapeli tu.
 
Mkuu nisaidie Kuniuliza je, na zile Fremu zilizojengwa Kishamba, Kipuuzi na Kienyeji pale Kambini Lugalo Kawe mkabala na Dawasco na Posta pamoja na ule Ukumbi wao Uliopinda kama Mbanio wa Sufuria ya Makande wa DAR SERVICE PARK zinalindwa na Teknolojia gani dhidi ya Maadui wenye Akili Kubwa kuliko Wao?
GENTAMYCINE umenifanya nicheke kama fisi
 
Back
Top Bottom