Kwa miezi hii kadhaa niliyokaa nchini baada ya kuishi miaka ya ujana wangu takribani yote nje ya bara la Afrika, nimegundua kuwa waafrika ni watu wavumilivu sana. Hali hii sikuiona mahali pengine tofauti na huku kwetu.
Mfano: Muendesha pikipiki anaweza kuamua kupiga kelele na pikipiki yake, hakuna anayejali hata kama watu wanachukizwa na kitendo hicho.
Mwenye bar anaweza kufungulia mziki kwa sauti kubwa, hakuna anayejali.
Kanisani/Msikitini wanaweza kuhubiri kwa kutumia vipaza sauti, hakuna anayejali.
Usafi kwenye stend za mabasi, sokoni siyo wa kuridhisha, ila hakuna anayejali.
Huduma zinaweza kutolewa chini ya kiwango, hakuna anayejali.
Muhudumu anaweza akaamua kukucheleweshea order yako au chenji, hakuna anayejali.
Barabara za mitaa zinaweza kuharibika, hakuna anayejali.
Kwakweli ninawapongeza wote kuwa watu wa aina yake wenye maadili ya Kiafrika.
Mfano: Muendesha pikipiki anaweza kuamua kupiga kelele na pikipiki yake, hakuna anayejali hata kama watu wanachukizwa na kitendo hicho.
Mwenye bar anaweza kufungulia mziki kwa sauti kubwa, hakuna anayejali.
Kanisani/Msikitini wanaweza kuhubiri kwa kutumia vipaza sauti, hakuna anayejali.
Usafi kwenye stend za mabasi, sokoni siyo wa kuridhisha, ila hakuna anayejali.
Huduma zinaweza kutolewa chini ya kiwango, hakuna anayejali.
Muhudumu anaweza akaamua kukucheleweshea order yako au chenji, hakuna anayejali.
Barabara za mitaa zinaweza kuharibika, hakuna anayejali.
Kwakweli ninawapongeza wote kuwa watu wa aina yake wenye maadili ya Kiafrika.