African Millionaires: Ali Mufuruki

Sijaona cha maana.... Labda mtoa habari atuambie yeye maana ya utajiri kwake ni nini... au ndo kuwa na ghorofa... au kuna mengine ya huyu jamaa hajayaandika... kama ni maghorofa mbona mengi tu hata huku Geita... tena wanamiliki watoto wa miaka 25 mpaka 30. Au kuna kingine zaidi... tujuzane ili kweli tujifunze kupitia yeye.. Zaidi ya hapo its acrap!!!!!!!!!!

pia anamiliki maduka ya woolworth,hivi kwanini biashara zake zote zina relate na south africa tu?na connections nyingi alizipata Ami Mpungwe akiwa balozi wetu kule,nini kimejificha kati ya Ami Mpungwe na Ali mufuruki marafiki wakubwa hawa?
 
Siku moja nilikua nasafiri na ndege ya swissair, nilikua nimechelewa kufika airport, kwa bahati nafika kwenye kucheck inn wakaniambia bahati yako tulikua tumeshafunga desk , ila tunamsubiri Ali Mfuruki ,yuko njiani, yani ndege imemsubiri huyo tuu,nikajuliza huyo Mfuruki ndio nani , nikadhani ni labda a pedejee fulani
 
hata kama amechanganya what you say ufisadi na ujasiriamali wa kawaida ila najua jambo moja. Ali ana bidii sana katika kazi yake na yuko exposed sana ukilinganisha na wengine wa bongo.

Hao ni wanae, wamefanana naye na mama yao pia kama shombe fulani hivi.
Kinachonitatiza ni kuchanganya uswalihina (ambao anao sanaaa) na uzungu. Sikutegemea mtu kama huyo mshika dini kihivyo anaweza kushika viuno vya watoto ambao wameshafika balehe. Hao watoto hapo hivyo vilemba sio fashion ni lazima wafunike vichwa vyao,hata mkewe anavaa hijab full time. However, this is immaterial to me compared to issues raised above.
 
hata kama amechanganya what you say ufisadi na ujasiriamali wa kawaida ila najua jambo moja. Ali ana bidii sana katika kazi yake na yuko exposed sana ukilinganisha na wengine wa bongo.

Hao ni wanae, wamefanana naye na mama yao pia kama shombe fulani hivi.
Kinachonitatiza ni kuchanganya uswalihina (ambao anao sanaaa) na uzungu. Sikutegemea mtu kama huyo mshika dini kihivyo anaweza kushika viuno vya watoto ambao wameshafika balehe. Hao watoto hapo hivyo vilemba sio fashion ni lazima wafunike vichwa vyao,hata mkewe anavaa hijab full time. However, this is immaterial to me compared to issues raised above.

kwa suala la dini familia ya mufuruki nawakubali,mzee wao ambae alikua ni mfanyabiashara tajiri enzi hizo ndio watu wa mwanzo mwanzo kwenda kuhiji makka,kila mtu kijijini alikua anamshangaa miaka hiyo si unajua tena kupanda ndege ilikua issue na safari ya hija ilikua ndefu sana na yenye kuchukua miezi kadhaa sio kama siku hizi,jamaa ali mfuruki licha ya ufirauni wa british legeon club bado dini anayo na anaswali sana!
 
Ali ni muadilifu na akili;ujasiri wa kuthubuti; kujituma na busara nyingi. Wanaomkandia ndo hao wa nafiki na hawako tayari kujifunza na kuthubuti!
 
Alikuwa board member wa BOT kwa miaka mingi, hata kipindi cha kashfa ya EPA. Zile biashara hayuko peke yake. Sifahamu kuhusu barozi mwizi Mpungwe. Ila nasikia pia anashirikiana na naibu waziri science na technologia. mbunge wa jimbo la misungwi. Nasikia ni washirika wa siku nyingi kibiashara Wote hawa wawili walikuwa wafanyakazi BOTI. Ila Mafuruki aliondoka siku nyingi huku mwenziwe akibaki mpaka kufikia ngazi ya ukurugenzi mpaka mwaka jana alipogombea ubunge na kupata unaibu waziri.

Nawasilisha
 
Bwana ''Mufu'' si alifanya masters yake ujerumani (mechanical engeneering) baadae akaajiriwa kiwanda cha kutengeza mabenzi, alirudi nchini miaka ya 1980's akawa mkurugenzi wa mmoja ya mashirika ya umma yaliyokufa kwa ubadhirifu...............................akastaafu kwa hiari(nafikiri baada ya kupata mtaji) na akaanzisha hiyo kampuni Infotech, Ni rafiki mkubwa wa jambazi ''Mukapa'' na coordinator wao ''Mupungwe''!!!!!

TANZANIA KUMPATA TAJIRI AMBAYE HAJAWAHI KUIBA PESA ZA UMA KATIKA HARAKATI ZAKE ZA KUJIKWAMUA NI NGUMU SANA
!!!!
 
Ni CEO wa Infotech group , anamiliki jengo la Infotech place ipo round about ya kuelekea kawe.
 
jamaa wa geita mwanza huyu na ni body member wa geita gold,pale geita jamaa ni maarufu sana,kuanzaia baba yake anapesa ya kutosha.....
 
mbona huyo Paul mashauri anavaa suti zimembana namna hiyo?

10.preview.jpg
 
Nadhani una maana miaka 40 ya ujasiriamali. Au sio ndugu , maana kwa muonekano wake umri wake kimahesabu ni X > or = to 60. X ndio umri wake
 
mi huo utajiri wake none of my business ila hivyo vibinti vyake tu sijui nitavipataje aisee vimenona.....
 
Natamani sana kujua historia yake,Ali Mafuruki katokea wapi,ujasiriali kauanza lini?maana mi ananikonga sana kwenye vipindi vya Televisheni namna anavyojua kujenga hoja.Mfano,ni kama wiki mbili zimepita kwenye kipindi cha This week persepective cha Adam Simbeye TBC1 wakiongelea shilingi kushuka thamani, mbele ya kamishna wa BOT na katibu hazina (huyu jamaa alikuwa TASAF kabla),Ali alisema serikali ndo inaongoza kwa kufanya manunuzi kwa kutumia dola

Akasema ukienda mlimani city baadhi ya maduka vitu vinauzwa kwa dola na bei zimebandikwa kwa dola,nyumba ufukweni zinapangishwa kwa dola akasema hiyo kitu ni kosa na kuwa serikali inayajua hayo lakini haichukui hatua,ushauri wake wa kuwa heshima kwa shilingi yetu uanzie serikalini niliuona wa maana sana.

Ali ni nani hasa huyu?


Duka gani mlimani city unanunua vitu kwa dola jamani kama lipo basi moja! Tupeane mifano yenye akili hilo la kupangisha kwa dola kila mtu anaongea. . Naitaji point alizotoa zilizokukamata na mimi nimuone hivo mana ndo namuona hapa jf. .
 
Back
Top Bottom