Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,859
- 763
40 years of age?!!!!!!!!!!!!!! nimebakisha miaka kumi tu nizeeke ivyo? basi kweli life expectancy inazidi kushuka, watakaozaliwa watakuwa wameshabalehe na kila kitu wanaelewa
ninavyoelewa alipata utajiri (breakthrough) akiwa na miaka 40 ,kwa sasa yupo above that by far!