Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
hao wote ndo wake zake au
Hapana mkuu hao ni mabinti zake
hao wote ndo wake zake au
Utajiri wa mfuruki kwa kiasi kikubwa umechangiwa na balozi ami mpungwe...na ndio business partner wake,aliyoyafanya ami mpungwe kwenye mashirika yetu ya umma na madini yetu akishirikiana na makaburu kipindi cha mkapa ndio matokeo yake kuibuka kwa bwana mufuruki!
El toro
huyo mtu ana tofauti na rostamaziz unaposema watu wamuige huyo bora wakamuige rostam aziz
nenda ukaulize aliepeka atcl kuwa apo ilipo akiwa mwenyekiti wa bodi ni nani ..huoy huyo ndie alietaka kufanya kamchezo kachafu kwa kutangaza atcl kununua ndege mbili mpya wakati huo kulikuwa na ndege mbili za atcl zimerudishwa kwao south afrika kilichofanyika wakazipeleka kwenda ireland ilipofika wakati wa mkataba ikaonekana mbona namba za ndege reg mbona zinafanana na ziliozoondka alitamaani dunia ihamie mbeya
so kwa ngu mi i kama hawa unaniambia niendelee kuwa mwizi kitu nisichokiweza dear
sos sorry hiyo kuwashika familia yake ni wajibu wakila mtu nahisi na wewe ukioa unatakiwa kuwapenda waotot wako kama kaka ali...nakutakia mafanikio mema
miaka 40? mbona anaonekana kama ana miaka 60? ..kweli life so hard in bongo
Halafu hapa tunapeana moyo hard work pays! Kumbe kuna story kubwa nyuma ya pazia dah
kudos mkuu, ..................... wengi wetu humu huwa tunashabikia hata mafisadi kwa uvivu wa kufikiri.................
mfano huyu mufuruki ana hela sawa,.................... mtaji wa biashara kaupata lini na wapi??................... watu hawajiulizi kabisa, .............. kama anazo zabuni anazipata vipi hizo zabuuni.................. kama ana hisa mahali,................ alinunuaje hizo hisa, ............... hao amapartner wake kibiashara, walikutana naye lini na wapi.....................???............ halafu hujiulizi tu, si ndiye huyu mufuruki aliyekuwa ATCL/Alliance???....................... shirika likafa yeye akapaa kibiashara................... jamani, tuitieni akili vichwani please.....................
Miaka 40 ya umri au biashara?