Wapi huko mkuu,Mbinguni au Jehanamu?Dah... huko aendako ndo atamalizia bao lake....
Hii habari mbona kama nishawahi kuisoma hapa...au nimeanza kuzeeka mimi!!!
Hivi kwenye kumbi za bongo hawaonyeshagi haya makitu?
umeanza kuzeeka mkuu,kitu new hiki
Mkuu sidhani kama nimeanza kuzeeka hahaha...
Hii stori ni marudio bana na ilishakuwepo hapa jamvini kitambo(2009) na mnyetishaji alikuwa ni TANMO...
Hebu ufuatilie huo uzi wa TANMO hapa chini, ni habari ileile kama hii ya kwako....:confused2:
https://www.jamiiforums.com/mahusia...jichua-wakati-akiangalia-sinema-ya-ngono.html
Ila hii mambo ya punyeto bana...kuna jamaa alikosea akatumia supa gluu katika zile harakati za kutafuta kilaini...imagine kilichotokea baada ya hapo...:becky:
Mbinguni au jehanamu?
Duh!majanga!atakuwa njia panda ya sehemu hizo mbili akimalize ndio ataonyeshwa mlango wake wa kupitia