Waungwana salaam!!
Kuna mahali nilikuta ubishi ambao kabla wala sikuwahi kufikiria endapo watu wangekuwa interested kufahamu hilo jambo!!! Ingawaje nami nilitamani kuchangia, lakini kiukweli sikuwa na hata ABC ya jambo lenyewe! Hivyo nimeamua kuja kuwauliza waungwana humu ndani manake hata nami nimejisikia kutaka kufahamu!! Hapa namzungumzia yule afande anayeonekana bungeni akipiga kwata na rungu lake kumsindikiza Speaker wa Bunge. MIongoni wa waliokuwa wanabishana, wapo waliokuwa wanasema kwamba yule afande ni afande wa polisi na pale yupo kama polisi tu.....yaani ni kama polisi anavyopelekwa kuwa kwenye msafara wa kiongozi wa nchi na yule wa bungeni anapelekwa pale kuhudumia bunge! Hata hivyo, kuna waliodai kuwa yule bwana ana-apply kibarua lakini sifa yake ni kwamba awe anatoka kwenye jeshi lolote hapa nchini. Na kama akipata, anaacha magwanda yake ya awali na kuwa mwajiriwa wa Bunge na sio tena mambo ya ndani! Natamani kujuwa ukweli ni upi kati ya hayo!! KUna mtu ambae anaweza kuwa na maelezo zaidi kuhusu mheshimiwa yule?! Manake kama vp na mimi nianze kuandaa CV yangu nikaidondoshe pale ili niwe mbeba rungu!!!
Kuna mahali nilikuta ubishi ambao kabla wala sikuwahi kufikiria endapo watu wangekuwa interested kufahamu hilo jambo!!! Ingawaje nami nilitamani kuchangia, lakini kiukweli sikuwa na hata ABC ya jambo lenyewe! Hivyo nimeamua kuja kuwauliza waungwana humu ndani manake hata nami nimejisikia kutaka kufahamu!! Hapa namzungumzia yule afande anayeonekana bungeni akipiga kwata na rungu lake kumsindikiza Speaker wa Bunge. MIongoni wa waliokuwa wanabishana, wapo waliokuwa wanasema kwamba yule afande ni afande wa polisi na pale yupo kama polisi tu.....yaani ni kama polisi anavyopelekwa kuwa kwenye msafara wa kiongozi wa nchi na yule wa bungeni anapelekwa pale kuhudumia bunge! Hata hivyo, kuna waliodai kuwa yule bwana ana-apply kibarua lakini sifa yake ni kwamba awe anatoka kwenye jeshi lolote hapa nchini. Na kama akipata, anaacha magwanda yake ya awali na kuwa mwajiriwa wa Bunge na sio tena mambo ya ndani! Natamani kujuwa ukweli ni upi kati ya hayo!! KUna mtu ambae anaweza kuwa na maelezo zaidi kuhusu mheshimiwa yule?! Manake kama vp na mimi nianze kuandaa CV yangu nikaidondoshe pale ili niwe mbeba rungu!!!