Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Inabidi aende rehab kwanza, hasije akavua nguo kwenye jukwaa la campaign.
Ni kweli Afande Sele anafaa kuwa Mbunge.
Ni kweli Afande Sele anafaa kuwa Mbunge.
ccm hoyeeee,Hahahahaha....Amepita bila kupingwa
sasa hapa ndo alikua anapiga kampeni au?Ni kweli Afande Sele anafaa kuwa Mbunge.
mbona watu meshapigilia msumari atagombea kwa ticket ya ccm.. kuna TLP... UDP... PPT MAENDELEO... na pia ni haki yake.. kama wananchi wakiona ni heri wamchague hata kama anapuliza ndio democracy hiyo . sugu sio msanii wa kwanza kuwa mbunge so afande haigi mtu...! walitangulia Kina JOHN KOMBA ...
GO ... AFANDE!!! SELEMANI MSINDI... BABA TUNDA...!! "nazimikia sana pini lako Dunia ina mambo" :lock1:
sasa hapa ndo alikua anapiga kampeni au?
Atagombea kupitia CHADEMA, hii ni kwa mujibu wa Afande mwenyewe!
Kichwa kinaelekea mjengoni, kwa taarifa isiyo rasmi, ni kuwa Juma Nature nae atagombea jimbo la Temeke kupitipia CHADEMA
Pipoooooooooz pawaaaaaaaaaa!