JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 471
Salaam,
Wadau mimi nina Advance Diploma in Journalism nataka mwaka huku nisome Lugha ya kigeni,
Je ni lugha gani ambayo kwa Tanzania inasoko sana
Mf ;Kijeruman,kifaransa,kihispania na nyinginezo ,
Ushaur wenu tafadhalini
Wadau mimi nina Advance Diploma in Journalism nataka mwaka huku nisome Lugha ya kigeni,
Je ni lugha gani ambayo kwa Tanzania inasoko sana
Mf ;Kijeruman,kifaransa,kihispania na nyinginezo ,
Ushaur wenu tafadhalini