Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Habari,
Jamani hivi hapa bongo kama nataka watoto wa adopt naanzia wapi? na mchakato wake wa kisheria ni hectic sana? Je kuna gharama za kulipia? Je kuna masharti natakiwa nitimize (Umri nk?).
Na je mwanamke anaweza kuwa offended na huu mpango? Coz my partner seems undecided.
Wenye details hata kidogo naombeni msaada.
Jamani hivi hapa bongo kama nataka watoto wa adopt naanzia wapi? na mchakato wake wa kisheria ni hectic sana? Je kuna gharama za kulipia? Je kuna masharti natakiwa nitimize (Umri nk?).
Na je mwanamke anaweza kuwa offended na huu mpango? Coz my partner seems undecided.
Wenye details hata kidogo naombeni msaada.