Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
We jamaa unaongea sana na umeshindwa kutetea hoja yako. Kwani we unafanya kazi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
mnatraumatize watoto
We jamaa unaongea sana na umeshindwa kutetea hoja yako. Kwani we unafanya kazi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mkuu una maanisha prof wote ni watu ambao hawakuwahi kuguswa na kiboko?Fimbo ni kwaajili ya watoto wa kimaskini tu. Wanasiasa wanaoshadadia fimbo watoto wao wako English Medium hata hawapigwi bakora. Wakifokewa tu na mwalimu ni kesi kubwa. Hao tu wamejaa vyuoni na ndiyo hufaulu vizuri.
Fimbo zinajenga nidhamu ya uoga na inamfanya mtu kuogopa mamlaka, ijulikane kuwa jinsi mtu anavyoshirikiana na mamlaka inaimpact kubwa sana kwenye mafanikio yake maishani. Mbaya zaidi fimbo hazisaidii chochote zaidi ya kusababisha watu kuacha shule na kuongeza utoro.
Unaongea vitu gani wewe, mbona mie mwenyewe mwalimu na kuchapa hatuachi.Uzi huu nmeupenda sana natamn walimu wooote tungeupitia uzi huu!!! Shida nyngne walimu hawako connected kabsa na vtu kama hivi ambapo watu wanapeana ujuzi na experience tofauti tofauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzazi nae pia ni mwalimu kwa mwanae.hivyo Mfunze mwanao adabu vyema ipasavyo nyumbani kwako ili aendako huko shule asipatwe na hayo majanga.Japo c jambo jema kuchapana mpk kufa au kuvunjika kiungo hivyo tusitizame upande mmoja badala yake kila mmoja ajihoji nakulifanyia kazi serikali,walimu,pamoja na wazazi kwamba kwa nn walimu wanafikia hatua hiyo?
kwa nn! mwanangu tuu kila siku?
Kwa nn! mtt wa fulani kila siku yeye tu?
Oooh!! Saw endelea Mwl !!!Unaongea vitu gani wewe, mbona mie mwenyewe mwalimu na kuchapa hatuachi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani watoto walikua hawafanyi usafi, makelele darasani, ukimtuma haendi, na mbaya zaidi wakamgomea aliyefuta adhabu siku moja. Ikabidi avirudishe tu, saivi mambo swafi shule imekua shule, mwendo wa viboko tu.mkuu umenikumbusha hata mimi kuna scul nilisoma meneja alikuja nakupokea malalamiko kutoka kwa wanafunzi kuwa tunachapwa sana na kiukweli tulikuwa tunachezea viboko, ss jamaa akawafokea sana walimu kwa hilo jambo,hatimaye wakaacha kuchapa week inayofuata meneja mwenyewe ndio alitandika watu makofi nakuwaomba walimu waendeleze utamaduni wao.
Unamchapa mtoto anapokua na kosa na unamchapa kistaarabu tu.mnatraumatize watoto
Sawa nimekuelewa vipi kuhusu mazingira ya huyu mwalimu hayawezi kuchangia kivyovyote vile?sababu zinaweza zikawa
Moja,hampendi huyo mtoto
mbili,mtoto labda ana ulemavu wa akili
tatu,mwalimu hajui jinsi ya kudeal na huyo mtoto anayeonyesha challenging behaviour
Nyie ndio mnatuletea watoto wanaokuja kutusumbua huku shuleni, basi ukae tu na mwansoNEVER EVER KUMCHAPA MTOTO..MAMA YANGU HAKUNICHAPA NA SITAFANYA HIVYO KWA MWANANGU
Sawa nimekuelewa vipi kuhusu mazingira ya huyu mwalimu hayawezi kuchangia kivyovyote vile?
Hata wewe huoni kwamba umevuka mipaka,Unaweza kuwa na hoja lakini hapa na wewe umevuka mipaka.
Je yalikuwa maamuzi ya walimu kuweka division five?
Point ya waalimu kuzuiliwa kuchapa itazalisha magenge
ya wahuni kuliko ilivyo sasa,nadhani ni muhimu wakuu wa
mashule waliopewa dhamana ya kutoa adhabu nao wawajibishwe
pindi inapogundulika wamesimisha madaraka yao kwa waalimu
wasiojielewa.Hiyo itaongeza nidhamu katika usimamizi.
Nyie ndio mnatuletea watoto wanaokuja kutusumbua huku shuleni, basi ukae tu na mwanso
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hutaki mwanao apewe adhabu anapokosea mfundishe mwnywe.....hyo ya kijana kwa kweli nimepondeka sana moyo....ila siungi mkono viboko kutolewa mashuleni unadhani bila ya viboko ungekuja kutusumbua na mada yako hii...........ulikuwa zwazwa sema viboko vimekutoa uzwazwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Funga domo maana yake nini??We funga domo lako, halafu hao watoto utakuja kuwafundisha wewe? Usipige domo kwenye kazi za wenzako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni MUHUNI tu.mnh ukweli ni kwamba kama wewe ni mtu mstaarabu kiboko hutatumia kwa mtoto
Ubaya ni kuwa walimu wengi wa shule za msingi ni FAILURES wa FORM FOUR.Ualimu ni kazi ngumu duniani,sio kwa Tanzania tu ila nadhani kuboresha maslahi ya walimu kutapunguza 'frastresheni' lol