Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
wewe nawe ni mhaya?DR Bana yupo sahihi kabisa, nadhani mtoa mada umeripoti ndivyo sivyo! dokta bana alikuwa anahojiwa au anatoa mawazo yake kutokana na swala la kina Lissu, kama mtanzania yeyote anayo haki ya kusema lile alilosema, ni kweli kina lisu wametenda makosa na wanastahili adhabu hiyo hata mimi naona ni ndogo kama mimi ningeamua wavuliwe ubunge kabisa ilia iwe fundisho kwa wabunge wote wa ccm na chadema wanaoropoka huko bungeni na kushindwa kueshimu kiti cha spika