Lissu kile anachokijua yeye, kama Rage naye anauhakika na taarifa zake kuhusu wabunge wa vyama vingine basi aitishe press conference badala ya kulia lia kama mtoto mdogo.
Heee...! Kwani hajapeleka bado? Inamaana amezitia ndani?
Lissu kile anachokijua yeye, kama Rage naye anauhakika na taarifa zake kuhusu wabunge wa vyama vingine basi aitishe press conference badala ya kulia lia kama mtoto mdogo.
Mzimu wa mafisango utawatesa sana simba si mmwambie apeleke rambi rambi congohuyu mpuuzi ameua timu yetu ya simba kwa ulafi na wizi wa ki alshabab! cjui uchaguzi lini atimuliwe mwizi huyu!!
Mzimu wa mafisango utawatesa sana simba si mmwambie apeleke rambi rambi congo
huyu mpuuzi ameua timu yetu ya simba kwa ulafi na wizi wa ki alshabab! cjui uchaguzi lini atimuliwe mwizi huyu!!
Rage atapeleka lini rambi rambi za mafisango congo?
Aliwahi hata kufungwa kwa kuiba pesa ya FAT enzi hizo akiwa na Ndolanga alipoingia Vasco kamsamehe!kutoka mwizi hadi mbunge na mwenyekiti wa klabu kubwa kama Simba!
Kumbe huyu ndo yule yule wa Kagame Cup ha ha ha.Inaonesha amechoka hata ule uenyekiti wa mnyama tuwapikie wazee wali tu wakamtoe