Mkuu uhuni upi unazungumzia? mbona hao wazee ndio hatari.ni bora tuendelee kuongozwa na busara za wazee kuliko hawa vijana wahuni
Hivi mkuu wa intelejensia Marando yupo au yuko mahakamani anatetea mafisadi?chadema ni chama makin cheny intelijensia kubwa kwa hyo wanatambua kwamba z.z.k n puppet(mamuluki) kutoka magamba(ccm)
- Chagulani Adams
Chagulani Adams
Nipenda kutumia fursa hii kuwataarifu wapenzi wa mageuzi na wakweli wote kuwa sina mpango wa kujiunga na Chama cha Mapinduzi kama maadui zangu wa kisiasa wanavyozusha kwenye mitandao ya kijamii kuwa nina mpango wa kujiunga na CCM ,
niseme hivi sijawahi kuwa mwanaccm na kamwe sitakuwa mwanaccm mimi bado ni mwanachadema kindakindaki najipanga jinsi ya kuitafuta haki yangu nawaheshimu sana viongozi wangu wa chama hasa mwenyekiti F.Mbowe,Zitto kabwe Dr.Kitila ,na wote wanaopenda ukweli na siyo wafanyia kazi majungu HUKU WAKITAKA NAFASI NYETI NCHINI nimuomba MUNGU KUANZIA SASA WASIPATE NAFASI HIZO MAANA kama wanayafanya haya hawajawa na uhakiki wa amri kwa vyombo vya ulinzi vipi?
wakijua wanausalama wanawalinda sipati picha MUNGU aepushe bali na balaa hilo,niseme binafsi nimesikitishwa na kuhusihwa na majungu kuwa nimeshiriki vitendo vya kifisadi na kukihujumu chama changu nilichokipigania siki zote tangu nikiwa chuoni hadi sasa nitaandika waraka mwingine kueleza kilichojiri na nini hatua inayofuta baadae tuko pamoja ukombozi wa taifa hili ni lazima kwa njia yeyote ile
ni bora tuendelee kuongozwa na busara za wazee kuliko hawa vijana wahuni
Soma hii, toka facebook
Chagulani Adams‎
[h=5]" HIVI KWANINI MWANACHADEMA TOFAUTI NA ,SLAA,, akitangaza kugombea URAIS TUNAAMBIWA NA KUAMINISHWA KUWA ametumwa hana malezi ya pande mbili alitanguliza kutuka miguu badala ya kichwa ,anavuruga chama,ni mamluki au PANDIKIZI kuna ajenda gani ya siri maana katiba ya chadema inasema kila mwanachama ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa au kuna watu maalumu katika nafasi maalumu nakubaliana za ZITTO
KUTA
NGAZA NIA kunawatu wanajiona wao ni wanachadema bora kuliko wengine hali hii ikiachwa iendelee si nzuri kwa afya ya chama chetu TUWAACHE WANACHADEMA WATANGAZE NIA ZAO ILI TUWAPIME KWENYE VIKAO VYETU MUDA UKIFIKA TUSIFINYE DEMOKRASIA TUNAYOIHIBIRI CHAMA SIYO GEREZA KWAMBA KILA MWANCHAMA AFIKIRIE TUNAVYOWAZA WOTE HUO NDIYO UHAI WA CHAMA CHETU TUACHE VIKAO VITAAMUA MUDA UKIFIKA KINYUME NA HAPO NI UBABE NA UDIKTETA WA HALI YA JUU SANA.TUJADILI SUALA HILI KIDEMKRASIA"
[/h]
Huyu nae ana majungu mwanaume kulia lia ooh eeh ..
Huyu nae ana majungu mwanaume kulia lia ooh eeh ..
Chagulani mi nakujua sana ache kujidhalilisha usiombe radii, maana slaa ameapa lazima wakumalizie chini ili wenje spite bila kupingwa 2015' nenda cuf au ccm au ccm . Tukupe ubunge. Achana na chadema Chama cha wachaga na wamburu. Ungekuwa MCHAga usinge fukuzwa. Nakufahamu ulivyokuwa mwancdm mtiifu lakini Ndio hivyo tena basi tena, kawasalimu, chezea Chaga na mbulu wewe .
- Chagulani Adams
Chagulani Adams
Nipenda kutumia fursa hii kuwataarifu wapenzi wa mageuzi na wakweli wote kuwa sina mpango wa kujiunga na Chama cha Mapinduzi kama maadui zangu wa kisiasa wanavyozusha kwenye mitandao ya kijamii kuwa nina mpango wa kujiunga na CCM ,
niseme hivi sijawahi kuwa mwanaccm na kamwe sitakuwa mwanaccm mimi bado ni mwanachadema kindakindaki najipanga jinsi ya kuitafuta haki yangu nawaheshimu sana viongozi wangu wa chama hasa mwenyekiti F.Mbowe,Zitto kabwe Dr.Kitila ,na wote wanaopenda ukweli na siyo wafanyia kazi majungu HUKU WAKITAKA NAFASI NYETI NCHINI nimuomba MUNGU KUANZIA SASA WASIPATE NAFASI HIZO MAANA kama wanayafanya haya hawajawa na uhakiki wa amri kwa vyombo vya ulinzi vipi?
wakijua wanausalama wanawalinda sipati picha MUNGU aepushe bali na balaa hilo,niseme binafsi nimesikitishwa na kuhusihwa na majungu kuwa nimeshiriki vitendo vya kifisadi na kukihujumu chama changu nilichokipigania siki zote tangu nikiwa chuoni hadi sasa nitaandika waraka mwingine kueleza kilichojiri na nini hatua inayofuta baadae tuko pamoja ukombozi wa taifa hili ni lazima kwa njia yeyote ile