Kamati kuu ndiyo nini wenye maamuzi ni Mbowe na Dokta Slaa, pamoja na Lema, siyo mbunge lakini yumo kwenye kamati. Hawa ndiyo wenye chama.
Dogo ni Jembe tena Sana tu. Watu ambao wamefanikiwa Kuona kash kash zake kwenye vikao vya halmashauri na Jinsi alivyo Makini huwezi thubutu kukubaliana na hii taarifa ya kumwagwa.
Mbaya ni Kuona watu wanamshitumu tu Adam kwa kosa la kubumbiwa na lenye fitna ndani yake.
Alafu watu wanakubaliana na info kutoka juu hata Kama hazina tija wala haki kwa ADam
Lazima watu wawe wanapima Kama vitu ni sawa sio kila linalotolewa na uongozi wa chadema ni sawa na watu wana buy them na kufanyia kazi. Hatuwezi kwenda popote. Kabla ya kamati kuu ilitakiwa lipitie ya wilaya kisha mkoa. Sasa hii shuttuma direct to kamati kuu na hapo hapo maamuzi kutolewa uanachama. Hakuna first warning last warning wala nini?watu wa chadema ni perfect tupu Hakuna makosa! Duuu
Kwa taarifa ya Bwana Adam Tanzania ya sasa haitaji kiongozi legelege kiongozi kama Dr Slaa ndiye haswa anafaa kuongoza TZ yetu, yako madudu mengi hayaitaji kufumbiwa macho, yanahitaji greda la kuyangoa na greda letu ni Dr Slaa!!!! Bwana Adama uje tena kwa staha na adabu ili viongozi waweze kukuelewa kama sio mnafiki, lazima uelewe malengo ya CDM kwa sasa!!!!Wenje ana fitina mbaya sana ugomvi wake na Chagulani kaupeleka kwa Mbowe na Dokta Slaa.
Mkuu pokea 'LIKE'...
Nipenda kutumia fursa hii kuwataarifu wapenzi wa mageuzi na wakweli wote kuwa sina mpango wa kujiunga na Chama cha Mapinduzi kama maadui zangu wa kisiasa wanavyozusha kwenye mitandao ya kijamii kuwa nina mpango wa kujiunga na CCM ,
niseme hivi sijawahi kuwa mwanaccm na kamwe sitakuwa mwanaccm mimi bado ni mwanachadema kindakindaki najipanga jinsi ya kuitafuta haki yangu nawaheshimu sana viongozi wangu wa chama hasa mwenyekiti F.Mbowe,Zitto kabwe Dr.Kitila; niseme binafsi nimesikitishwa na kuhusihwa na majungu kuwa nimeshiriki vitendo vya kifisadi na kukihujumu chama changu nilichokipigania siki zote tangu nikiwa chuoni hadi sasa nitaandika waraka mwingine kueleza kilichojiri na nini hatua inayofuta baadae tuko pamoja ukombozi wa taifa hili ni lazima kwa njia yeyote ile
Yan heading na contents vitu vitatu tofauti
I agree, huyu dogo (Chagulani) na mwenzake Matata, kama wanafikiri wameonewa wakate rufaa kwa mujibu wa katiba ya CDM. Hapa JF ni pa kuenezea propaganda na fikra za chukii bila sababu.Ninaamini kwamba kama kweli anakipenda chama chake CDM, asingeleta malalamiko yake humu ndani ya JF, ambamo hayawezi kupatiwa ufumbuzi zaidi ya kujadiliwa tu.
Ashakum si matusi, lakini hii ni sawa na mtu aliyemfumania mwenzi wake, badala ya kuyamaliza kimya kimya kama bado anampenda, anaamua kuita watu waje washuhudie kisha wanaondoka wote na mwenzi wake kurudi nyumbani kulala eti wamepatana!!?? Ni aibu.
Kimbunga mwambie rafiki yako Chagulani asipoteze muda kupiga kelele nyikani. Kwa msaada zaidi awasiliane na wale watano waliokuwa madiwani jijini Arusha wamshuhudie mbio zao zilipoishia. Nao walikuwa wanatapatapa hivihivi wakimshutumu Dr. Slaa, kitu ambacho kilikuwa ni aibu kwao wenyewe kwani kwa watu wanaojua katiba, kanuni na taratibu za Chadema walikuwa wanawahurumia tu kama si kuwacheka kutokana na madai yao ya kitoto!
- Chagulani Adams
Chagulani Adams
Nipenda kutumia fursa hii kuwataarifu wapenzi wa mageuzi na wakweli wote kuwa sina mpango wa kujiunga na Chama cha Mapinduzi kama maadui zangu wa kisiasa wanavyozusha kwenye mitandao ya kijamii kuwa nina mpango wa kujiunga na CCM ,
niseme hivi sijawahi kuwa mwanaccm na kamwe sitakuwa mwanaccm mimi bado ni mwanachadema kindakindaki najipanga jinsi ya kuitafuta haki yangu nawaheshimu sana viongozi wangu wa chama hasa mwenyekiti F.Mbowe,Zitto kabwe Dr.Kitila ,na wote wanaopenda ukweli na siyo wafanyia kazi majungu HUKU WAKITAKA NAFASI NYETI NCHINI nimuomba MUNGU KUANZIA SASA WASIPATE NAFASI HIZO MAANA kama wanayafanya haya hawajawa na uhakiki wa amri kwa vyombo vya ulinzi vipi?
wakijua wanausalama wanawalinda sipati picha MUNGU aepushe bali na balaa hilo,niseme binafsi nimesikitishwa na kuhusihwa na majungu kuwa nimeshiriki vitendo vya kifisadi na kukihujumu chama changu nilichokipigania siki zote tangu nikiwa chuoni hadi sasa nitaandika waraka mwingine kueleza kilichojiri na nini hatua inayofuta baadae tuko pamoja ukombozi wa taifa hili ni lazima kwa njia yeyote ile
- chagulani adams
chagulani adams
nipenda kutumia fursa hii kuwataarifu wapenzi wa mageuzi na wakweli wote kuwa sina mpango wa kujiunga na chama cha mapinduzi kama maadui zangu wa kisiasa wanavyozusha kwenye mitandao ya kijamii kuwa nina mpango wa kujiunga na ccm ,
niseme hivi sijawahi kuwa mwanaccm na kamwe sitakuwa mwanaccm mimi bado ni mwanachadema kindakindaki najipanga jinsi ya kuitafuta haki yangu nawaheshimu sana viongozi wangu wa chama hasa mwenyekiti f.mbowe,zitto kabwe dr.kitila ,na wote wanaopenda ukweli na siyo wafanyia kazi majungu huku wakitaka nafasi nyeti nchini nimuomba mungu kuanzia sasa wasipate nafasi hizo maana kama wanayafanya haya hawajawa na uhakiki wa amri kwa vyombo vya ulinzi vipi?
Wakijua wanausalama wanawalinda sipati picha mungu aepushe bali na balaa hilo,niseme binafsi nimesikitishwa na kuhusihwa na majungu kuwa nimeshiriki vitendo vya kifisadi na kukihujumu chama changu nilichokipigania siki zote tangu nikiwa chuoni hadi sasa nitaandika waraka mwingine kueleza kilichojiri na nini hatua inayofuta baadae tuko pamoja ukombozi wa taifa hili ni lazima kwa njia yeyote ile