Uchaguzi 2020 ACT-Wazalendo wamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Baraza la mawaziri la serikali ya chadema na Act wazalendo litakuwa Kama ifuatavyo
Benard Membe = Mambo ya nje
Godbless Lema =Mambo ya ndani
John Heche = Ulinzi na Jkt
Suzane Lyimo= Elimu
Zitto Kabwe = Fedha na mipango
Jussa Jussa= katiba na sheria
Ester Bulaya = Habar Maelezo
Halima Mdee=Nishati , Madini
Ado Shaibu = Miundo mbinu
Peter Msigwa= Utalii
Ester Matiko = Afya
Joseph Haule =Ajira na vijana
Joseph Mbilinyi = Tamisemi
Freeman Mbowe= Waziri Mkuu
Nitajie manaibu mawaziri
Nchi itapendeza sana
 
JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.

Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!

Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
mwaka huu Maalim Seif na Tundu Lissu wamewakalia wakoloni weusi "pabaya". wamenukuliwa wakiitaja ICC mara kwa mara.

kwa kauli za hawa 2 inaonekana dhahiri wao ndiyo watakuwa mstari wa mbele kabisa endapo wataamua mass revolt ndiyo option. na inawezekana maana wote 2 hawana cha kupoteza zaidi ya yaliyowakuta huko nyuma!
 
Taifa linaangamiaje kwa mfano?
Magufuli fisadi kaiba matrilion ya pesa, kisha anakuja kuwatisha ma-CAG. Huyo Magufuli siyo muangamizaji wa taifa kwa ufisadi wake?

Bora ufisadi wa MAGUFULI kuliko ulofa wa LISSU wa kupanga njama za machafuko na wazungu. Sijui LISSU akili chafu ya namna hii anaitoa wapi.
 
My early prediction, nilijua uchaguzi huu utakuwa mwepesi kwetu, ila kiukweli, inahitaji extra push tushinde, kuna historia za ajabu duniani zishatokea, mtu kama Lissu usije mdharau kabisa katika huu uchaguzi, don't ever count him out.. Leo nimeona kumbe ACT wanam support secretly, mm kama CCM, we need extra IQ tushinde, huu uchaguzi bado una sintofahamu
Kama na Jay One na ww leo imekiri kuwa kazi si nyepesi basi sasa nimeanza kuamini ngoma kumbe ni nzito siyo ya kitoto.
 
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.

Hii ngoma bado mbichi sana.

On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.

Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!

Lakn mkumbuke kuwa kule kwenye tume ACT anatambuliwa ni membe, sasa siku ya uchaguzi watapiga kwenye picha ya nani?

Na tume ilishasema endapo chama vinataka kuungana viwasilishe hoja hyo kabl ya siku 90.

Halafu pia hayo ni maamuzi ya Maalim seif lakn si wanachama wa ACT.

Naona karata hizi zinaanza kujichanganya. Ngoja tusubiri
 
Back
Top Bottom