LOGARITHM
JF-Expert Member
- May 5, 2010
- 974
- 475
Kwa hiyo Membe amebaki na mamluki wake zitto?
Frustrations hizo zitawaua
Kwa hiyo Membe amebaki na mamluki wake zitto?
Nchi itapendeza sanaBaraza la mawaziri la serikali ya chadema na Act wazalendo litakuwa Kama ifuatavyo
Benard Membe = Mambo ya nje
Godbless Lema =Mambo ya ndani
John Heche = Ulinzi na Jkt
Suzane Lyimo= Elimu
Zitto Kabwe = Fedha na mipango
Jussa Jussa= katiba na sheria
Ester Bulaya = Habar Maelezo
Halima Mdee=Nishati , Madini
Ado Shaibu = Miundo mbinu
Peter Msigwa= Utalii
Ester Matiko = Afya
Joseph Haule =Ajira na vijana
Joseph Mbilinyi = Tamisemi
Freeman Mbowe= Waziri Mkuu
Nitajie manaibu mawaziri
Ulikuwa chato au Chadema???
Nacheka kwa cheko kuu, wanazidi kumurahisishia njia Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
Magufuli fisadi mkunwa akishirikiana na wanaompa hope ya kuwepo paleTaifa linaangamiaje kwa mfano?
Magufuli fisadi kaiba matrilion ya pesa, kisha anakuja kuwatisha ma-CAG. Huyo Magufuli siyo mungamizaji wa taifa kwa ufisadi wake?
Yaan Ni full maendeleoNchi itapendeza sana
Ila anaweza kumchagua mtu anayemgawa mama yake kwa mwanaume kwa sababu ya jogoo sio???😂😂😂😂CHADEMA. Wengi wenu mnaoshabikia CHADEMA hamjawahi hata kuwa wanachama. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuchagua Lissu.
Ukijumlisha Bar na Zanzibar unapata nini?Hao Act wapo zanzibar na chadema wapo bara bado John joseph pombe Magufuli ni mshindi!
Mpaka tuwe wanachama. Tuna mahaba tu sio lazima tuwe wanachama na tutamchagua LissuCHADEMA. Wengi wenu mnaoshabikia CHADEMA hamjawahi hata kuwa wanachama. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuchagua Lissu.
Mwenzako Troll J kashaacha kushabikia ujinga na kujitoa fahamu.Hao Act wapo zanzibar na chadema wapo bara bado John joseph pombe Magufuli ni mshindi!
Eeh Baba Mungu utuona na sisi watanzania Baba, ututendee miujiza kwa sifa na utukufu wako.Yaan Ni full maendeleo
mwaka huu Maalim Seif na Tundu Lissu wamewakalia wakoloni weusi "pabaya". wamenukuliwa wakiitaja ICC mara kwa mara.JP Magufuli hatoachia urais kupitia sanduku la kura. Hivyo hivyo Zanzibar. Maalim Seif hatopewa urais.
Humu jamvini tunajifariji tu. Mwaka 1995 na 2015 bila shaka Wapinzani walishinda (Mrema & Lowassa) lakini hawakupewa Nchi. Maalim anashinda kila uchaguzi. Kwa wenye kumbukumbu kiduchu tu wanakumbuka walichofanya jeshi/TISS mwaka 2015 pale Zenji.... mchana kweupe!
Hii comment ntairudia early November 2020 baada ya NEC & ZEC kufanya yao
Gentamisin, Ndege John, Imhotep, Johnthebaptist, victorie wameachana na ujinga wa ccm. ZimewarudiMwenzako Troll J kashaacha kushabikia ujinga na kujitoa fahamu.
Taifa linaangamiaje kwa mfano?
Magufuli fisadi kaiba matrilion ya pesa, kisha anakuja kuwatisha ma-CAG. Huyo Magufuli siyo muangamizaji wa taifa kwa ufisadi wake?
Kama na Jay One na ww leo imekiri kuwa kazi si nyepesi basi sasa nimeanza kuamini ngoma kumbe ni nzito siyo ya kitoto.My early prediction, nilijua uchaguzi huu utakuwa mwepesi kwetu, ila kiukweli, inahitaji extra push tushinde, kuna historia za ajabu duniani zishatokea, mtu kama Lissu usije mdharau kabisa katika huu uchaguzi, don't ever count him out.. Leo nimeona kumbe ACT wanam support secretly, mm kama CCM, we need extra IQ tushinde, huu uchaguzi bado una sintofahamu
Anadhani akifokea watu watamugopa kama vile anawalisha yaani. Ngoja ataoa maajabu ocober 38Vijana tundeni na Lissu tar 28 yule Msukuma hafai kuongoza nchi kiburi kimemjaa alafu nashangaa anajifanya kutufokea hadi kwenye mikutano ya kampeni.. Sasa ndio umekwisha habari yako mwaka huu
Lakn mkumbuke kuwa kule kwenye tume ACT anatambuliwa ni membe, sasa siku ya uchaguzi watapiga kwenye picha ya nani?Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.
Hii ngoma bado mbichi sana.
On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.
Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!