Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,932
Magufuli hata nafasi ya ubunge tu hapa Chato alikuwa anatoboa kwa shida sana.CCM wenzangu tumekwisha!!! Mi nilijua tu kwa mbinu mbovu za mwenyekiti wetu safari hii hatutoboi.
Magufuli hata nafasi ya ubunge tu hapa Chato alikuwa anatoboa kwa shida sana.CCM wenzangu tumekwisha!!! Mi nilijua tu kwa mbinu mbovu za mwenyekiti wetu safari hii hatutoboi.
China hawahawa mliowanyima kujenga SGR na kuwaletea figisu mradi wa bandari ya bagamoyo??? Au wengine???Hawawezi kuthubutu kuja tanzania,
Hapa kuna maslahi ya China Na Urusi,marekani hawezi kuleta fyoko fyoko
Na ubaya zaidi walichofeli vyama vya upinzani, ni ku copy, edit &paste Ilani ya CCM, kwa maana nimebahatika kusoma ilani zote hizo na nimegundua hilo, upinzani bado hawana uwezo wa kuiongoza nchi hii ya Tanzania.💥👊🏼💃🏻
kwa hiyo unalazimisha kuwa mtaiba kura?Hawawezi kuthubutu kuja tanzania,
Hapa kuna maslahi ya China Na Urusi,marekani hawezi kuleta fyoko fyoko
Hahaha acha kutufunga kamba wewe, mtu amekuwa mbunge takriban miaka 20, halafu utuambie alikuwa anatoboa kwa shida? Vichekesho hivi kweli kweliMagufuli hata nafasi ya ubunge tu hapa Chato alikuwa anatoboa kwa shida sana.
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.
Hii ngoma bado mbichi sana.
On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.
Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!
Yeah wakichomoka mwaka huu tumekwisha
Mkuu naona safari hii umekuwa mpole kumtetea na kumpigania Jiwe,nini tatizo?
Bora mlemavu wa mguu kuliko mlemavu wa ubongo.Nchi inaenda kuongezwa na mlemavu....
Ulikuwa chato au Chadema???LISSU akishinda Taifa litaangamia. CHADEMA hakuna sera, ni uhuni tu. Tulikuwa huko tunaijua vizuri CHADEMA
Baraza la mawaziri la serikali ya chadema na Act wazalendo litakuwa Kama ifuatavyo
Benard Membe = Mambo ya nje
Godbless Lema =Mambo ya ndani
John Heche = Ulinzi na Jkt
Suzane Lyimo= Elimu
Zitto Kabwe = Fedha na mipango
Jussa Jussa= katiba na sheria
Ester Bulaya = Habar Maelezo
Halima Mdee=Nishati , Madini
Ado Shaibu = Miundo mbinu
Peter Msigwa= Utalii
Ester Matiko = Afya
Joseph Haule =Ajira na vijana
Joseph Mbilinyi = Tamisemi
Freeman Mbowe= Waziri Mkuu
Nitajie manaibu mawaziri
Alichowafanya akina Nape, makamba, Kinana et al. Wako pale kulinda uhai tu lakini wanamchukia sana mshambaMkuu tuombe uzima.
huwezi kuwanyang'anya chama wenye chama ukawapa waKuja halafu eti utegemee wenye chama wakupiganie!! mbaya zaidi wenye chama ndo walikuweka hapo kwa nguvu kubwa halafu eti baadaye unawadhihaki na kuwadunisha utegemee kura zao? hilo sahau mkuu. kulikon hivo si ni heri waharibu hata hizo kura!!!!
Kura yako imeanza kuharibika. Mtu mmoja haruhusiwi kupiga kura zaidi ya moja
ninyi mtakufa na kihoroMtalia kilio cha mbwa siku hiyo. Hakuna kitu kama hicho. JPM Lazima ashinde.
Acha woga utaangamia wewe lumumba fc maana utakuwa huna pakula.LISSU akishinda Taifa litaangamia. CHADEMA hakuna sera, ni uhuni tu. Tulikuwa huko tunaijua vizuri CHADEMA
Hujafa hujaumbika hata wewe mda huu huu unaweza kuwa kilema kwa ajali hata ya nyumba yako kuangukiwa na Ndege usibeze ukilema wa mtu wakati ajali zipo na mda wowote zinaweza kukupitia hata weweAtajinyea yeye kwanza na kale kamguu kake.
Mambo hadharani. Kura za ACT Wazalendo zote sasa kwa Tundu Lissu baada ya mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif kutamka rasmi kumuunga mkono.
Hii ngoma bado mbichi sana.
On top of this latest support from the Maalim himself, tumekuwa tukishuhudia maelfu ya wapiga kura wa hata vijijini swekeni huko jinsi wanavyomlaki Tundu Lissu kwenye campaign rallies zake.
Kwa kweli CCM tutahitajika kufanya rigging ya kutoka sayari ya Mars ili mgombea wetu ashinde!
Taifa linaangamiaje kwa mfano?LISSU akishinda Taifa litaangamia. CHADEMA hakuna sera, ni uhuni tu. Tulikuwa huko tunaijua vizuri CHADEMA