ACT Wazalendo pelekeni salamu CHADEMA

Philipo Mwakibinga

Senior Member
May 13, 2013
111
175
Napenda kumuambia rasmi kaka yangu Zitto Zuberi Ruyangwa Kabwe (Zizou Ziyaye Zinedine Yaziy Zidane) kuwa CCM hatunaga Shuguli ndogo. Kila uchaguzi kwetu ni muhimu na wathamani sana. Sisi siyo CHADEMA ambao wanakimbia uchaguzi mdogo wanashiriki uchaguzi Mkuu. Wakati Uchaguzi mdogo ndiyo unatafuta mabega ya kusimama wakati wa kueleka na kipindi cha uchaguzi Mkuu.

Zitto anashangaa WanaCCM kama Mh Kassim Majaliwa, Mh Dkt Mpango, Mh Shaka, Mh Cecil Mwambe, Mh Nyarandu n wengine kuwepo kwenye kampeni. Anashangaa haya kwasababu ya neno "UCHAGUZI MDOGO" ahhaa! Hilo ni jina tu kutokana na Wakati na kiwango cha Uchaguzi husika lakini thamani na maudhui yake kwa CCM ni UCHAGUZI MUHIMU.

Zitto Yeye hakuwatuma akina Ado Shaibu wala akina Likapo Bakari na Nondo Abdul bali alikwenda Yeye na Haji Duni kwani wenyewe ni wepesi kiasi hicho!? Namkumbusha kuwa Siasa ya Chaguzi kwetu sisi siyo ya kupuuzwa ni Kazi kazi tena kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Zitto ahakikishe anajenga chama kitaasisi wala asijiingize kwenye siasa za lawama, matukio na kutegemea CCM tukosee ndiyo watumia hiyo fulsa. Lazima wajikite kiajenda na kimuono wala siyo kijanjajanja kama wale jamaa wanaogombea Viti maalumu 19 tu.

Kigoma Tumeshinda kwa Kishindo kikubwa kwasababu Upinzani bado wanaleta na kuendekeza siasa za kivulana kuliko za kimajukumu.

Ukitaka kujua nguvu ya CCM basi jifanye unajaribu kuhatarisha Uhai wake... Chadema wanajua maana walishaingia ndani ya 18 hadi sasa wanaogopa kuingia ulingoni wamebaki kutafuta huruma ya Mama.

Tanzania bila CCM itayumba.
 
Wananchi wamewapuuza ccm na uchaguzi kwa ujumla. Kundi kubwa la wananchi haliridhishwi na ccm tena, kwa ujumla ccm iko nje ya muda bila wao kujua. Ukitaka kujua ccm imechokwa usiangalie ushindi, bali angalia idadi ya wapiga kura. Kama idadi ya wapiga kura waliojiandikisha ni zaidi ya laki 3 sehemu zote kilipokuwa na uchaguzi leo, kisha wanatokea watu chini ya 50,000 hapo inabidi mjiulize. Ccm kwa sasa ni kama mwanafunzi anayepata division IV toka division I, lakini anajivunia kuwa wakwanza kwenye hiyo division IV! Kama mna akili na mnaamini mnakubalika, jiulize ni kwanini hamna wapiga kura kama zamani? Hebu weka idadi ya wapiga kura iliyojitokeza tujue inavyokubalika na sio kutangazwa washindi na tume yenu.
 
Wananchi wamewapuuza ccm na uchaguzi kwa ujumla. Kundi kubwa la wananchi haliridhishwi na ccm tena, kwa ujumla ccm iko nje ya muda bila wao kujua. Ukitaka kujua ccm imechokwa usiangalie ushindi, bali angalia idadi ya wapiga kura. Kama idadi ya wapiga kura waliojiandikisha ni zaidi ya laki 3 sehemu zote kilipokuwa na uchaguzi leo, kisha wanatokea watu chini ya 50,000 hapo inabidi mjiulize. Ccm kwa sasa ni kama mwanafunzi anayepata division IV toka division I, lakini anajivunia kuwa wakwanza kwenye hiyo division IV! Kama mna akili na mnaamini mnakubalika, jiulize ni kwanini hamna wapiga kura kama zamani? Hebu weka idadi ya wapiga kura iliyojitokeza tujue inavyokubalika na sio kutangazwa washindi na tume yenu.
Kwahiyo nyie chadema mmepata division ngapi kwenye huo uchaguzi?
 
Ccm inajipigia kilaini tu sasa hivi, maana majama yameshaelekea kibra huku yakishirikiana na ccm kuimba Samia mi 10 tena na ccm mbele kwa mbele

Hebu weka idadi ya wapiga kura ili tuone mnavyokubalika. Kama una bar yako na ulikuwa unauza crate 10 kwa siku, kisha sasa unauza crate 2, utakuwa mwendawazimu kujisifia kuwa unauza crate zaidi ya wengine wenye bar hapo mtaani kwako, bila kujiuliza wateja wameenda wapi na kwanini hawaji tena.
 
Chadema waliamua kumuunga mkono Samia kwa kutoweka mgombea ili kumkomoa marehemu
Kule kuna kampeni za kuwania ukuu wa malaika na jamaa yenu yupo hoi kwa kukosa wapambe. Mbona hamuungi juhudi mkono?
 
Napenda kumuambia rasmi kaka yangu Zitto Zuberi Ruyangwa Kabwe (Zizou Ziyaye Zinedine Yaziy Zidane) kuwa CCM hatunaga Shuguli ndogo. Kila uchaguzi kwetu ni muhimu na wathamani sana. Sisi siyo CHADEMA ambao wanakimbia uchaguzi mdogo wanashiriki uchaguzi Mkuu. Wakati Uchaguzi mdogo ndiyo unatafuta mabega ya kusimama wakati wa kueleka na kipindi cha uchaguzi Mkuu.

Zitto anashangaa WanaCCM kama Mh Kassim Majaliwa, Mh Dkt Mpango, Mh Shaka, Mh Cecil Mwambe, Mh Nyarandu n wengine kuwepo kwenye kampeni. Anashangaa haya kwasababu ya neno "UCHAGUZI MDOGO" ahhaa! Hilo ni jina tu kutokana na Wakati na kiwango cha Uchaguzi husika lakini thamani na maudhui yake kwa CCM ni UCHAGUZI MUHIMU.

Zitto Yeye hakuwatuma akina Ado Shaibu wala akina Likapo Bakari na Nondo Abdul bali alikwenda Yeye na Haji Duni kwani wenyewe ni wepesi kiasi hicho!? Namkumbusha kuwa Siasa ya Chaguzi kwetu sisi siyo ya kupuuzwa ni Kazi kazi tena kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Zitto ahakikishe anajenga chama kitaasisi wala asijiingize kwenye siasa za lawama, matukio na kutegemea CCM tukosee ndiyo watumia hiyo fulsa. Lazima wajikite kiajenda na kimuono wala siyo kijanjajanja kama wale jamaa wanaogombea Viti maalumu 19 tu.

Kigoma Tumeshinda kwa Kishindo kikubwa kwasababu Upinzani bado wanaleta na kuendekeza siasa za kivulana kuliko za kimajukumu.

Ukitaka kujua nguvu ya CCM basi jifanye unajaribu kuhatarisha Uhai wake... Chadema wanajua maana walishaingia ndani ya 18 hadi sasa wanaogopa kuingia ulingoni wamebaki kutafuta huruma ya Mama.

Tanzania bila CCM itayumba.
Njaa mbaya sana
 
Napenda kumuambia rasmi kaka yangu Zitto Zuberi Ruyangwa Kabwe (Zizou Ziyaye Zinedine Yaziy Zidane) kuwa CCM hatunaga Shuguli ndogo. Kila uchaguzi kwetu ni muhimu na wathamani sana. Sisi siyo CHADEMA ambao wanakimbia uchaguzi mdogo wanashiriki uchaguzi Mkuu. Wakati Uchaguzi mdogo ndiyo unatafuta mabega ya kusimama wakati wa kueleka na kipindi cha uchaguzi Mkuu.

Zitto anashangaa WanaCCM kama Mh Kassim Majaliwa, Mh Dkt Mpango, Mh Shaka, Mh Cecil Mwambe, Mh Nyarandu n wengine kuwepo kwenye kampeni. Anashangaa haya kwasababu ya neno "UCHAGUZI MDOGO" ahhaa! Hilo ni jina tu kutokana na Wakati na kiwango cha Uchaguzi husika lakini thamani na maudhui yake kwa CCM ni UCHAGUZI MUHIMU.

Zitto Yeye hakuwatuma akina Ado Shaibu wala akina Likapo Bakari na Nondo Abdul bali alikwenda Yeye na Haji Duni kwani wenyewe ni wepesi kiasi hicho!? Namkumbusha kuwa Siasa ya Chaguzi kwetu sisi siyo ya kupuuzwa ni Kazi kazi tena kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Zitto ahakikishe anajenga chama kitaasisi wala asijiingize kwenye siasa za lawama, matukio na kutegemea CCM tukosee ndiyo watumia hiyo fulsa. Lazima wajikite kiajenda na kimuono wala siyo kijanjajanja kama wale jamaa wanaogombea Viti maalumu 19 tu.

Kigoma Tumeshinda kwa Kishindo kikubwa kwasababu Upinzani bado wanaleta na kuendekeza siasa za kivulana kuliko za kimajukumu.

Ukitaka kujua nguvu ya CCM basi jifanye unajaribu kuhatarisha Uhai wake... Chadema wanajua maana walishaingia ndani ya 18 hadi sasa wanaogopa kuingia ulingoni wamebaki kutafuta huruma ya Mama.

Tanzania bila CCM itayumba.
Mlituaminisha kuwa bila jiwe itayumba,lkn leo ni miezi ndiyo kwanza taifa linakata mbuga.

Huku watanzania wakiishi kwa furaha na bashasha tele.
 
Kule kuna kampeni za kuwania ukuu wa malaika na jamaa yenu yupo hoi kwa kukosa wapambe. Mbona hamuungi juhudi mkono?
Ndio sababu ya nyie chadema mkaamua kumuunga mkono Samia ili kumkomoa?
 
Kwani mzimamizi wa uchaguzi si anateuliwa na ccm??. Hasa Inakuwaje Useme Tanzania kuna Uchaguzi!.
 
Tumepuuza huo mtihani maana tumejua hakuna mtihani kwani head master anampa mtoto wake majibu ili aongoze wakati tunajua hana akili. Ushahidi kuwa wananchi wamejua kinachoendelea ni upuuzi, weka idadi ya wapiga waliojitokeza.
Kwani headmaster si alishakufa?

Au kuna mwingine tena anawateka na kuwaua?
 
Kwani headmaster si alishakufa?

Au kuna mwingine tena anawateka na kuwaua?

Nasema hivi, weka idadi ya wapiga kura ili tuone mnavyokubalika. Kipi halieleweki hapo? Jizi namba moja liko motoni, mifumo iliyompa nguvu dhalimu iko pale pale, ndio maana wenye akili wakajitoa, na wananchi pia wamepuuza huo utoto. Ili kuthibitisha kukubalika na wananchi wa huko, weka idadi ya waliojitokeza kupiga kura.
 
Napenda kumuambia rasmi kaka yangu Zitto Zuberi Ruyangwa Kabwe (Zizou Ziyaye Zinedine Yaziy Zidane) kuwa CCM hatunaga Shuguli ndogo. Kila uchaguzi kwetu ni muhimu na wathamani sana. Sisi siyo CHADEMA ambao wanakimbia uchaguzi mdogo wanashiriki uchaguzi Mkuu. Wakati Uchaguzi mdogo ndiyo unatafuta mabega ya kusimama wakati wa kueleka na kipindi cha uchaguzi Mkuu.

Zitto anashangaa WanaCCM kama Mh Kassim Majaliwa, Mh Dkt Mpango, Mh Shaka, Mh Cecil Mwambe, Mh Nyarandu n wengine kuwepo kwenye kampeni. Anashangaa haya kwasababu ya neno "UCHAGUZI MDOGO" ahhaa! Hilo ni jina tu kutokana na Wakati na kiwango cha Uchaguzi husika lakini thamani na maudhui yake kwa CCM ni UCHAGUZI MUHIMU.

Zitto Yeye hakuwatuma akina Ado Shaibu wala akina Likapo Bakari na Nondo Abdul bali alikwenda Yeye na Haji Duni kwani wenyewe ni wepesi kiasi hicho!? Namkumbusha kuwa Siasa ya Chaguzi kwetu sisi siyo ya kupuuzwa ni Kazi kazi tena kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Zitto ahakikishe anajenga chama kitaasisi wala asijiingize kwenye siasa za lawama, matukio na kutegemea CCM tukosee ndiyo watumia hiyo fulsa. Lazima wajikite kiajenda na kimuono wala siyo kijanjajanja kama wale jamaa wanaogombea Viti maalumu 19 tu.

Kigoma Tumeshinda kwa Kishindo kikubwa kwasababu Upinzani bado wanaleta na kuendekeza siasa za kivulana kuliko za kimajukumu.

Ukitaka kujua nguvu ya CCM basi jifanye unajaribu kuhatarisha Uhai wake... Chadema wanajua maana walishaingia ndani ya 18 hadi sasa wanaogopa kuingia ulingoni wamebaki kutafuta huruma ya Mama.

Tanzania bila CCM itayumba.
Utumwa wa akili hiyo nguvu ya CCM mbona hatujaiona katika kuwatunza Waze na kuwaongezea mishahara watumishi
 
Hebu weka idadi ya wapiga kura ili tuone mnavyokubalika. Kama una bar yako na ulikuwa unauza crate 10 kwa siku, kisha sasa unauza crate 2, utakuwa mwendawazimu kujisifia kuwa unauza crate zaidi ya wengine wenye bar hapo mtaani kwako, bila kujiuliza wateja wameenda wapi na kwanini hawaji tena.
Anaeuza cret 2 na ambae amefunga kabisa bora nani?
 
Hebu weka idadi ya wapiga kura ili tuone mnavyokubalika. Kama una bar yako na ulikuwa unauza crate 10 kwa siku, kisha sasa unauza crate 2, utakuwa mwendawazimu kujisifia kuwa unauza crate zaidi ya wengine wenye bar hapo mtaani kwako, bila kujiuliza wateja wameenda wapi na kwanini hawaji tena.
Safi saaanaaa, endeleeni kubwabwaja huku huku mitandaoniii. Maaana kwenye ulingo wa kisiasa mlishagaragazwaaa mda mrefuuuu
 
Back
Top Bottom