Act Tanzania Tanga yapata viongozi wa mkoa, Pia Kusimamisha Wagombea Majimbo yote

PHILIPLULINDA

Senior Member
Jun 1, 2013
181
89
Chama cha ACT Tanzania, kimefanya uchaguzi wa Mkoa na kupata Viongozi hapo Jana na ambao Watakuwa Madarakani kwa mda wa miaka mi 5.

Uchaguzi huo umefanyika Tanga mjini katika ukumbi wa Maktaba ya Mkoa na kuhudhuriwa na Viongozi wote wa Majimbo ya Mkoa wa Tanga, Waliochaguliwa katika Uchaguzi wa Majimbo yao.

Viongozi waliohudhiria ni kutoka majimbo yafutayo, Tanga mjini, Handeni, Kilindi, Mkinga, Pangani, Bumbuli, Lushoto mjini,Korogwe Mjini na Korogwe Vijijini.

Chaguzi za Majimbo zilimalizika ndani ya wiki moja iliyopita, Leo Uchaguzi ulikuwa unasimamiwa na kiongozi kutoka Makao Makuu ya Chama Taifa.

Uchaguzi ulianza mda wa saa 4 asubuhi Mpaka mda wa saa kumi jioni, baada ya hapo ndipo kura zilipigwa na kupata wagombea waloshinda ni wafuatao hapa chini.

Katibu wa Mkoa
- Ndugu Kitaluuma ni Mtaafu wa Bandari ,ALLY ABDALLAH.
Mweka Hazina - ndugu Kitaluuma ni Mwanamahesabu .FRANSIS JOHN MDOE.
Mwenyekiti wa ngome ya wanawake Mkoa - Kitaluuma ni Mwalimu, Bi FATUMA S. KOMBO.
Mwenyekiti wa Mkoa Uchaguzi utafanyika muda sio mrefu.

ACT Tanzania chama cha ukombozi karibu na mjiunge wote wenye mapenzi mema na nchi hii.

Sasa tunajenga chama ilikuwa ni maelezo ya waliochaguliwa kuongoza ACT Tanzania ,Pia ndio chaguo la Watanzania.
 
Chama cha ACT Tanzania leo kimefanya uchaguzi wa Mkoa na kupata Viongozi ambao Watakuwa Madarakani kwa mda wa miaka mi 5. Uchaguzi huo umefanyika Tanga mjini katika ukumbi wa Maktaba ya Mkoa na kuhudhuriwa na Viongozi wote wa Majimbo ya Mkoa wa Tanga, Waliochaguliwa katika Uchaguzi wa Majimbo yao. Viongozi waliohudhiria ni kutoka majimbo yafutayo, Tanga mjini, Handeni, Kilindi, Mkinga, Pangani, Bumbuli, Lushoto mjini,Korogwe Mjini na Korogwe Vijijini.

Chaguzi za Majimbo zilimalizika ndani ya wiki moja iliyopita, Leo Uchaguzi ulikuwa unasimamiwa na kiongozi kutoka Makao Makuu ya Chama Taifa.

Uchaguzi ulianza mda wa saa 4 asubuhi Mpaka mda wa saa kumi jioni, baada ya hapo ndipo kura zilipigwa na kupata wagombea waloshinda ni wafuatao hapa chini.

Katibu wa Mkoa amechaguliwa ndugu Kitaluuma ni Mtaafu wa Bandari ,ALLY ABDALLAH.
Mweka Hazina ni ndugu Kitaluuma ni Mwanamahesabu .FRANSIS JOHN MDOE.
Mwenyekiti wa ngome ya wanawake Mkoa ni Kitaluuma ni Mwalim, Bi FATUMA S. KOMBO.
Mwenyekiti wa Mkoa Uchaguzi utafanyika mda si mrefu .
Act chama cha ukombozi karibu na mjiunge wote wenye mapenzi mema na nchi hii.


Sasa tunajenga chama ilikuwa ni maelezo ya waliochaguliwa kuongoza ACT Tanzania ,Pia ndio chaguo la Watanzania.
Sasa uchaguzi wa hao viongozi wa ACT unasema ulimalizika leo saa 10 jioni na viongozi wakachaguliwa, wakati saa hivi ni saa 8 mchana. Hapo vipi? Nahisi hakina uchaguzi wowote bali mmejipa vyeo nyinyi wenyewe halafu mkaja faster faster hapa JF kupost bila kutazama muda. Hahaaaah!!!
 
Chama cha ACT Tanzania leo kimefanya uchaguzi wa Mkoa na kupata Viongozi ambao Watakuwa Madarakani kwa mda wa miaka mi 5. Uchaguzi huo umefanyika Tanga mjini katika ukumbi wa Maktaba ya Mkoa na kuhudhuriwa na Viongozi wote wa Majimbo ya Mkoa wa Tanga, Waliochaguliwa katika Uchaguzi wa Majimbo yao. Viongozi waliohudhiria ni kutoka majimbo yafutayo, Tanga mjini, Handeni, Kilindi, Mkinga, Pangani, Bumbuli, Lushoto mjini,Korogwe Mjini na Korogwe Vijijini.

Chaguzi za Majimbo zilimalizika ndani ya wiki moja iliyopita, Leo Uchaguzi ulikuwa unasimamiwa na kiongozi kutoka Makao Makuu ya Chama Taifa.

Uchaguzi ulianza mda wa saa 4 asubuhi Mpaka mda wa saa kumi jioni, baada ya hapo ndipo kura zilipigwa na kupata wagombea waloshinda ni wafuatao hapa chini.

Katibu wa Mkoa amechaguliwa ndugu Kitaluuma ni Mtaafu wa Bandari ,ALLY ABDALLAH.
Mweka Hazina ni ndugu Kitaluuma ni Mwanamahesabu .FRANSIS JOHN MDOE.
Mwenyekiti wa ngome ya wanawake Mkoa ni Kitaluuma ni Mwalim, Bi FATUMA S. KOMBO.
Mwenyekiti wa Mkoa Uchaguzi utafanyika mda si mrefu .
Act chama cha ukombozi karibu na mjiunge wote wenye mapenzi mema na nchi hii.


Sasa tunajenga chama ilikuwa ni maelezo ya waliochaguliwa kuongoza ACT Tanzania ,Pia ndio chaguo la Watanzania.

Hapo "kitaaluma ni mstaafu wa bandari" panaonesha mleta uzi anatakiwa arudi akajipange . Taaluma ni nini?
 
Sasa uchaguzi wa hao viongozi wa ACT unasema ulimalizika leo saa 10 jioni na viongozi wakachaguliwa, wakati saa hivi ni saa 8 mchana. Hapo vipi? Nahisi hakina uchaguzi wowote bali mmejipa vyeo nyinyi wenyewe halafu mkaja faster faster hapa JF kupost bila kutazama muda. Hahaaaah!!!

Mh kweli cdm kunauchaguzi? kama wamejiteua ndo wanaanzisha chama hamnashida
 
Hivi nanyinyi mnajihisi ni watu na wanasiasa mbele ya watu mumesahau kuwa nyinyi ni makombo ya CHADEMA. Ni chama gani kinatagemea nguvu ya Zitto tuseme akifa leo mtashika wapi jieleweni kuwa nyinyi ni maji taka tu masafi yapo na nyinyi hamna sifa za maji masafi. Usaliti hautawaacha kamwe watu wemekufa wamekuma vilema wamefilisiwa nyie alafu mnapenda vya mteremko jiangalie mtajuta kuyasaliti mageuzi.
 
Sasa uchaguzi wa hao viongozi wa ACT unasema ulimalizika leo saa 10 jioni na viongozi wakachaguliwa, wakati saa hivi ni saa 8 mchana. Hapo vipi? Nahisi hakina uchaguzi wowote bali mmejipa vyeo nyinyi wenyewe halafu mkaja faster faster hapa JF kupost bila kutazama muda. Hahaaaah!!!

Jana mchana
 
VUA GAMBA&GWANDA VAA UZALENDO ACT daima,mkombozi wa kweli kwa watanzania

Hakuna kitu hapo. sema mkombozi wa matumbo yenu tu. Sipendi kabisa kusikia wanasiasa eti chama cha ukombozi. Upi? zaidi ya aliofanya baba wa Taifa? tokeni zenu hapa
 
Uchaguzi ulianza muda wa Saa 4 asubuhi mpaka saa kumi jioni,baada ya hapo ndipo kura zilipigwa nakupata wagombea walioshinda.

Kwanza hapo hata sielewi maanayake uchaguzi tofautiyake nakupiga kura ninini?,lakini hata hiyo Saa kumi haijafika sijui mleta mada uko sawasaw au kuna mtu nyuma yako anakuwajibisha?
 
Hivi nanyinyi mnajihisi ni watu na wanasiasa mbele ya watu mumesahau kuwa nyinyi ni makombo ya CHADEMA. Ni chama gani kinatagemea nguvu ya Zitto tuseme akifa leo mtashika wapi jieleweni kuwa nyinyi ni maji taka tu masafi yapo na nyinyi hamna sifa za maji masafi. Usaliti hautawaacha kamwe watu wemekufa wamekuma vilema wamefilisiwa nyie alafu mnapenda vya mteremko jiangalie mtajuta kuyasaliti mageuzi.

akifa mbowe na slaa unasemaje hapo chagadema itabaki.
 
Sasa uchaguzi wa hao viongozi wa ACT unasema ulimalizika leo saa 10 jioni na viongozi wakachaguliwa, wakati saa hivi ni saa 8 mchana. Hapo vipi? Nahisi hakina uchaguzi wowote bali mmejipa vyeo nyinyi wenyewe halafu mkaja faster faster hapa JF kupost bila kutazama muda. Hahaaaah!!!

Duuh!! umemsaidia san amefanya edit kazi yake
 
Back
Top Bottom