EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
wakati chadema inaanza mihemko ya wiki mbili ilikuwa bado haijaanza au ! acha kutumia fikra za wengine, tumia zako, umetumwa sio bure.
ACT zipo mbili,Chipolopolo na Akademia,ZZK kajiunga ACT ipi?
mkuu mtu asipokupa like nitamshangaaa sana
Nampa like idadi ya watanzania wote
Ongezea na ADC ya H. Rashid
Mtasubiri sana! ACT kuna vichwa si mapoyoyo mtasuburi mno hapa ni intellectuals wanaendesha chama na tunajua jinsi ya kuheshimu uhuru na mawazo ya watu..!
Mwigamba na Nyakarungu ndio unawaita intellectuals?
wakati chadema inaanza mihemko ya wiki mbili ilikuwa bado haijaanza au ! acha kutumia fikra za wengine, tumia zako, umetumwa sio bure.
Mkuu, ndo umeandika nini sasa hapo?Zitto hujifudha kwa mpendazoe na ccj?