ACT ni mbadala wa CHADEMA au CCM?

mkuu we msahaulifu kinoma,kwenye post umesema katika ACT viongozi wake ni wasomi,hakuna zero,halafu hapa unasema viongozi wake ni jamii nzima ya watanzania,hivi ktk jamii nzima ya watanzania utakosa zero?,hivi watanzania wote ni wasomi kwa maana ya wewe? huoni kama umejichanganya na hujui unachoandika.kama hoja hii tu unasahaui je mambo makubwa inakuaje?

Akikujibu atakuita msukule au mhafidhina
 
How! hakuna kitu kama hicho lazima kuwe na representatives,ambao ni kama mwenyekiti,katibu and the like.Halafu ulivonijibu na ulivoandika post yako unaona kuna ulinganifu

mkuu. ACT ni chama cha watanzania , maamuzi mengi ya chama yatakuwa yanafanywa na watanzania. sio kama chadema maamuzi yake yanafanywa na mzee mtei pale shambani kwake tengeru
 
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.


Kuna uhusiano gani kati ya Kuandikishwa na Kujiunga na chama?
kweli kama wewe ndio katibu mwenezi wao, sasa huo usomi upo wapi? au mmesoma lakini hamjaelimika?
 
Maendeleo nchini bado sana, siamini kama maendeleo ya nchi yanaletwa na vyama vya siasa, Jamani hebu tubadilikeni na tuanze kuamini katika kufanya kazi kwa bidaa, imagine Nyakarungu ni Daktari mzuri sana kama alivyo Kigwangara lakini wao wamekalia majukwaa badala ya kuudumia wananchi moja kwa moja mahospitalini, Mfano mzuri ni Thomas Nyahende ambaye ni Engineer na mwanasiasa. Thom anafanya siasa na wakati huo ni Sales Engineer mzuri sana.

Kuna post moja ililetwa hapa miaka ya nyuma kwamba Nyakarungu ni TISS

hivi nyakarungu ni nesi au daktari
 
Hakuna chama kikingine kitaimarika nje ya Chadema! Acheni porojo, hiko ni chama chao na wake zao wenye njaa
 
hiki chama kiko wapi kwani? kinajihusisha na nini? viongozi wake ndo akina nani haooo?

Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
 
Kuna uhusiano gani kati ya Kuandikishwa na Kujiunga na chama?
kweli kama wewe ndio katibu mwenezi wao, sasa huo usomi upo wapi? au mmesoma lakini hamjaelimika?

mkuu. ACT ni chama makini sana. kuna vijana wengi wa act hawajajiandikisha kupiga kura. ndio mana tunaomba daftari la mpiga kura ili vijana wote wajiandikishe na kupigia kura chama chao wanachokipenda cha act
 
hawajamaa wanaingia na Gia MBAYA sana. kuwa mpinzani wa mpinzani mkuu tafsiri ya wazi kuwa wewe ni CCM ni bora wakasimama kivyao kuliko kutegemea kuikandia CDM zaidi badala ya wahusika wakuu(CCM). Kwa staili hiyo watachuja mapema sana kama BONGO FLEVA. Ni dhahili chuki binafsi na tamaa za madaraka hazito shinda ukweli. lets wait
 
Brother "K" hapa naona watu watakutarayi!
Lkn ngonja nichangie,mi naona sio mbadala wa chama chochote kufuatia jina lenyewe ni neno la kiingereza lenye maana ya igiza/kuigiza.
Nchi hii kama maigizo tumeishaona mengi,tunataka watu wanaomaanisha kama vile CHADEMA tuwape nchi ccm wameishafanya walichoweza wameweza,walichoshindwa kila mtz anajua,hizi story
za mbadala utatuletea uchaguzi wa mwaka 2020 baada ya kuipima ubavu CDM.
 
Mdini ni nani kiongozi maana hichi chama hata mwanzilishi wake hajulikanai wala hajasimama mtu kusema hicho ndio chama chake na yeye mdio mwenyekiti but nasikia mchakato tu wa chama kuja but naona umetoa na mwongozo wa udini na ukigoma sio tuweke wazi ni chama cha nani.
Habari za likizo kwanza Mkuu......, nasikitika sana kama nawewe mpaka leo unaupeo wa kiwango hiki, unajua sifa za chama cha siasa kusajiliwa ama kwa muda au usajiri wa kudumu, kama hujui basi hukutakiwa kui-attack hoja yangu juu ya mwanzaishaji na udini wake au ukanda wake, kama hakina mwanzilishi kamuulize jaji mutungi kwanini amesajiri chama kisicho na aliyekianzisha na kimekujaje kama hakina aliyekianzisha kuwa makini bwana si lazima kila hoja uchangie hata kama hujaielewa.
 
mkuu. ACT ni chama makini sana. kuna vijana wengi wa act hawajajiandikisha kupiga kura. ndio mana tunaomba daftari la mpiga kura ili vijana wote wajiandikishe na kupigia kura chama chao wanachokipenda cha act
CCJ ilianza kwa mbwembwe namna hii,na washabiki wake walikuwa vijana
walipoonyeshwa mabakuli ya ubwabwa hata leo hawataki kusikia kitu inaitwa CCJ.
 
Brother "K" hapa naona watu watakutarayi!
Lkn ngonja nichangie,mi naona sio mbadala wa chama chochote kufuatia jina lenyewe ni neno la kiingereza lenye maana ya igiza/kuigiza.
Nchi hii kama maigizo tumeishaona mengi,tunataka watu wanaomaanisha kama vile CHADEMA tuwape nchi ccm wameishafanya walichoweza wameweza,walichoshindwa kila mtz anajua,hizi story
za mbadala utatuletea uchaguzi wa mwaka 2020 baada ya kuipima ubavu CDM.

kirefu cha act ni Alliance for Change and Transparency, acha kuongea mashudu
 
Back
Top Bottom