Acsee 2013 results

Erick zeph Stanley

JF-Expert Member
Apr 25, 2013
647
72
habari za uhakika n hz hapa: Poleni sana kidato cha sita wenzangu kwa kuwa na stress za kusuburi matokeo ila kwa taarifa yako ni kwamba shusha pressure tu yaani kwani kutokana na ubovu wa matokeo hayo wizara ya elimu inafanya kila liwezekanalo kuchelewesha matokeo ili kupunguza idadi ya watakao jinyonga kwani wahtimu kwa sasa wako hot kusikia matokeo yaktangazwa lkn kwa kifupi matokeo yanatangwazwa tarehe 5 mwezi huu..
Naomba kuwasilisha ujumbe wakuu!
 
habari za uhakika n hz hapa: Poleni sana kidato cha sita wenzangu kwa kuwa na stress za kusuburi matokeo ila kwa taarifa yako ni kwamba shusha pressure tu yaani kwani kutokana na ubovu wa matokeo hayo wizara ya elimu inafanya kila liwezekanalo kuchelewesha matokeo ili kupunguza idadi ya watakao jinyonga kwani wahtimu kwa sasa wako hot kusikia matokeo yaktangazwa lkn kwa kifupi matokeo yanatangwazwa tarehe 5 mwezi huu..
Naomba kuwasilisha ujumbe wakuu!

ndo kawaida yenu
 
Ukitaka kujua idadi ya chekechekea waliopo JF basi ingia jukwaa la Elimu.
 
habari za uhakika n hz hapa: Poleni sana kidato cha sita wenzangu kwa kuwa na stress za kusuburi matokeo ila kwa taarifa yako ni kwamba shusha pressure tu yaani kwani kutokana na ubovu wa matokeo hayo wizara ya elimu inafanya kila liwezekanalo kuchelewesha matokeo ili kupunguza idadi ya watakao jinyonga kwani wahtimu kwa sasa wako hot kusikia matokeo yaktangazwa lkn kwa kifupi matokeo yanatangwazwa tarehe 5 mwezi huu..

E.T.C=End of your thinking capacity
 
Mleta mada we ni mwongo, tangu lini matokeo yakatoka jumapili(tar 5). Be serious bana
 
Back
Top Bottom