Acheni siasa; TUGHE, NUMET, TUCTA, RAAWU, TUIKO, CWT, CHODAWU; mkowapi?

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Kuna mambo yanayoendelea tangu utawala wa awamu ya tano uingie madarakani ambayo hayana afya kwa mtumishi wa umma. Viongozi wa vyama vya wafanyakazi wamekaa kimya, au nanyi wamewamangelize?

—Ajira hakuna mpaka watu wameanza kujinyonga...mpo kimya.
—Kupanda madaraja ajira mpya ya 2012, 2013 na 2014 hakuna... Mpo kimya.
—Kupanda madaraja kwa mara nyingine 2016, 2017 na 2018 hakuna... Mpo kimya.
—Nyongeza ya kila Julai hakuna... Mpo kimya.
—Kupandishwa vyeo kwa walioongeza elimu hakuna... Mpo kimya.
—Kupunguzwa kwa kikokotoo toka 75% hadi 25% mpo kimya.

Ni ukweli kuwa wote hawawezi kupata ajira za serikali lakini kama kodi zinakusanywa zaidi ya awamu zilizopita, hiyo pesa ni ya miundombinu tuuuuuu. Miradi hiyo hadi izae matunda serikali ipate hela za kuwajali watumishi ni zaidi ya miaka 20.

Watumishi hawataki SUPRISE, wekeni mambo wazi. Baada ya wapinzani kuibua hoja nyie mnakuja kusema eti mlikaa na serikali ila walikataa hoja zenu, ACHENI UONGO. Wakati serikali inakataa maoni yenu, mbona hamkusema?

Kazi kuongeza vyama eti CHAKAMWATA, wana nini jipya? Wanakomaa na kupunguza asilimia kutoka 2% hadi 1%, hawana msaada mwingine?

Fanyeni kama mlivyofanya septemba 2016 wakati wa sakata la fao la kujitoa.
Tamko la Pamoja kati ya vyama vya wafanyakazi na Asasi za Kiraia kuhusu Kuzuiwa Fao la Kujitoa - JamiiForums

Nini maana ya Serikali ya wanyonge?
Nini maana ya neno wanyonge? ( )
A: Watu dhaifu; wasiokuwa na nguvu, wenye tabia ya upole na ya kunyenyekea, watu wa hali ya chini.
B: Waue, watie kitanzi, walimie meno

TUCTA
ni bora mkafuta sherehe za MEI MOSI 2019 ili pesa iliyotengwa itumike kuboresha MIUNDOMBINU ya vyama vya wafanyakazi, kuliko kwenda kwenye sherehe za kuwaongezea stress watumishi.
IMG_20181222_121335.jpg

IMG_20181222_121419.jpg
 
Sasa hapo Naomba unieleweshe vizuri wakulaumiwa, ni vyama vya watumishi wa umma au serikali ya wanyonge?
 
Mnawalaumu bure, mkulu alisha sema yeye ni jiwe na hashauriki, dawa ni kutokumwalika siku ya mei mosi kwani hana jipya wala tija.
 
Hivi vyama kazi yao kubwa ni kukusanya fedha kitoka kwa wanachama wao kwa ajili kununulia tisheti za mei mosi tuu, hilo ndo wanalolimudu.
Wamelidhihirisha hili hasa baada ya kushindwa kuwasemea na kuwatetea wanachama wao pale inapowabidi kufanya hivyo.
 
Kuna mambo yanayoendelea tangu utawala wa awamu ya tano uingie madarakani ambayo hayana afya kwa mtumishi wa umma. Viongozi wa vyama vya wafanyakazi wamekaa kimya, au nanyi wamewamangelize?

—Ajira hakuna mpaka watu wameanza kujinyonga...mpo kimya.
—Kupanda madaraja ajira mpya ya 2012, 2013 na 2014 hakuna... Mpo kimya.
—Kupanda madaraja kwa mara nyingine 2016, 2017 na 2018 hakuna... Mpo kimya.
—Nyongeza ya kila Julai hakuna... Mpo kimya.
—Kupandishwa vyeo kwa walioongeza elimu hakuna... Mpo kimya.
—Kupunguzwa kwa kikokotoo toka 75% hadi 25% mpo kimya.


Ni ukweli kuwa wote hawawezi kupata ajira za serikali lakini kama kodi zinakusanywa zaidi ya awamu zilizopita, hiyo pesa ni ya miundombinu tuuuuuu. Miradi hiyo hadi izae matunda serikali ipate hela za kuwajali watumishi ni zaidi ya miaka 20.

Watumishi hawataki SUPRISE, wekeni mambo wazi. Baada ya wapinzani kuibua hoja nyie mnakuja kusema eti mlikaa na serikali ila walikataa hoja zenu, ACHENI UONGO. Wakati serikali inakataa maoni yenu, mbona hamkusema?

Kazi kuongeza vyama eti CHAKAMWATA, wana nini jipya? Wanakomaa na kupunguza asilimia kutoka 2% hadi 1%, hawana msaada mwingine?

Fanyeni kama mlivyofanya septemba 2016 wakati wa sakata la fao la kujitoa.
Tamko la Pamoja kati ya vyama vya wafanyakazi na Asasi za Kiraia kuhusu Kuzuiwa Fao la Kujitoa - JamiiForums


Nini maana ya Serikali ya wanyonge?
Nini maana ya neno wanyonge?
Sasa hiv TUGHE wanatembelea V8 Dah ndo maana nimejitoa vyama vya wafanyakazi
 
Kuna mambo yanayoendelea tangu utawala wa awamu ya tano uingie madarakani ambayo hayana afya kwa mtumishi wa umma. Viongozi wa vyama vya wafanyakazi wamekaa kimya, au nanyi wamewamangelize?

—Ajira hakuna mpaka watu wameanza kujinyonga...mpo kimya.
—Kupanda madaraja ajira mpya ya 2012, 2013 na 2014 hakuna... Mpo kimya.
—Kupanda madaraja kwa mara nyingine 2016, 2017 na 2018 hakuna... Mpo kimya.
—Nyongeza ya kila Julai hakuna... Mpo kimya.
—Kupandishwa vyeo kwa walioongeza elimu hakuna... Mpo kimya.
—Kupunguzwa kwa kikokotoo toka 75% hadi 25% mpo kimya.


Ni ukweli kuwa wote hawawezi kupata ajira za serikali lakini kama kodi zinakusanywa zaidi ya awamu zilizopita, hiyo pesa ni ya miundombinu tuuuuuu. Miradi hiyo hadi izae matunda serikali ipate hela za kuwajali watumishi ni zaidi ya miaka 20.

Watumishi hawataki SUPRISE, wekeni mambo wazi. Baada ya wapinzani kuibua hoja nyie mnakuja kusema eti mlikaa na serikali ila walikataa hoja zenu, ACHENI UONGO. Wakati serikali inakataa maoni yenu, mbona hamkusema?

Kazi kuongeza vyama eti CHAKAMWATA, wana nini jipya? Wanakomaa na kupunguza asilimia kutoka 2% hadi 1%, hawana msaada mwingine?

Fanyeni kama mlivyofanya septemba 2016 wakati wa sakata la fao la kujitoa.
Tamko la Pamoja kati ya vyama vya wafanyakazi na Asasi za Kiraia kuhusu Kuzuiwa Fao la Kujitoa - JamiiForums


Nini maana ya Serikali ya wanyonge?
Nini maana ya neno wanyonge? ( )
A: Watu dhaifu; wasiokuwa na nguvu, wenye tabia ya upole na ya kunyenyekea, watu wa hali ya chini.
B: Waue, watie kitanzi, walimie meno

TUCTA
ni bora mkafuta sherehe za MEI MOSI 2019 ili pesa iliyotengwa itumike kuboresha MIUNDOMBINU ya vyama vya wafanyakazi, kuliko kwenda kwenye sherehe za kuwaongezea stress watumishi.
View attachment 974396
View attachment 974398
Mleta maada usifikiri vyama hivi hawajui yote haya. Wanachoogopa Jiwe atatoa maagizo washughulikiwe yaani unastaafishwa kwa nguvu au unavuliwa vyeo au unatimuliwa kabisa Au unaweza tumiwa TRA au uhamiaji au ukatekwa n.k. Mnapoambiwa serikali inakanyaga katiba na sheria zake muwe mnaelewa. Yaani tuko kwenye serikali ya kiimla, anachosema Rais ndicho kinafanywa. Sheria zitafatwa hadi siku akiamua kuwa annual increment iendelee kama zamani.
 
Back
Top Bottom