Acha kuponda starehe msaidie ndugu yako achomoke kwenye tanuru la umaskini

Amnusuru na wachawi na Mapepo kwa jinsi ya mwili yanayolazimisha tuamini Mungu hayupo ili yatishughulikie humu ukiwemo wewe.
Ukiona kwamba unaandamwa na Mapepo au wachawi ( ingawa kiuhalisia hawapo) ujue kwamba Mungu wako(ambaye kiuhalisia hayupo) ameshindwa kukulinda na kukunusuru.

Hivyo huyo Mungu wako ni mdhaifu na mzembe sana kwa kushindwa kukunusuru na hao Mapepo unaodai wapo.

Ukimkabidhi mlinzi alinde nyumba yako kisha mwizi akaja kuiba ina maanisha kwamba mlinzi wako ni mzembe sana.

Vivyo hivyo, Mungu wako huyo ni mzembe sana kwa kushindwa kukunusuru wewe na Mapepo.
 
misaada ndio imetulemaza WaAfrika, kama serikali zinapewa misaada but wanainji tuko maskini,,,,sisi maskini tunasaidianaje??? hii waafrika hatuwezi....kuwa mkatili tuu kama lile chezaji staafu la cameroon...
 
msaada wa pesa hudumaza ndiyo maana tunapata chawa wengi ila kama msaada wa mawzo ndiyo kitu sahihi ila tatizo je,sisi waafrika tunakubali mawazo?

wengi wanapoteza utu wao kwa njaa na siyo kuumiza ubongo au kuchukua mawazo kutoka kwa wengine
 
Huna kilema chochote unategemewa uchomolewe na ndugu yako TZ hii, utasota sana. Kumbuka huyo ndugu unayemwona yuko vizuri kibongobongo ana watu wengi sana wa kuwasaidia kutokana na umaskini uliopo kwenye familia nyingi za Tz. Vilevile mtu wewe wawezamwona yupo vizuri kutokana na umaskini wako kumbe nayeye mambo yake hayajasimama vizuri.
 
Sijasoma uzi ila ntajibu TITTLE inavyosema. Kuponda starehe ni baada ya kuweka mifumo ya kuingiza pesa sawa, huwezi msaidia ndugu pesa kila siku ya matumizi kama mwanao. Na kuna mifumo unaweza kuwa inaifanya kuingiza pesa ukishirikisha ndugu unaua mfumo ama unakuta yeye hayuko tayari na mifumo yako.
 
K
Huna kilema chochote unategemewa uchomolewe na ndugu yako TZ hii, utasota sana. Kumbuka huyo ndugu unayemwona yuko vizuri kibongobongo ana watu wengi sana wa kuwasaidia kutokana na umaskini uliopo kwenye familia nyingi za Tz. Vilevile mtu wewe wawezamwona yupo vizuri kutokana na umaskini wako kumbe nayeye mambo yake hayajasimama vizuri.
Kabisa
 
Back
Top Bottom