Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 798
- 1,636
We mbona Binti Kimoso anakufuga wakati una msnitch?Ongezea hii, angalia unayemsaidia au kumuinua. Wengi waliinua mashetani yakaja kuwageukia.
Waafrika ni maskini kwa sababu wanasaidiana kuliko uhalisia na bila akili.
Afrika tunaongozwa na mfumo wa Ujamaa, kusaidiana.