Access bank

Ni post gani...kama loan officer watu watakuwa wameshaanza na kazi kabisa maana interview ya kwanza ilifanyika tar 5
 
Kama zile post za marketing assistance kuna watu walifanya written interview sijui washaita tayari?
 
wataanza kazi rasmi february! ila wataenda atachment branches mapema january then wataenda 3 wks training baada ya hapo ndo waanze kazi rasmi
 
jiajiri au njoo mafinga kupasua mbao mzaz mi na degree mila nkijaribu namaliza usahili unaambiwa utaitwa kimya napasua mbao mafinga safi nakula
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom