SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
huyu naye kanunuliwa na nani? japo sita ni fisadi lakini sio katika extent ya kuandikiwa kitabu huku mafisadi papa wakipeta
Yeye kaanza na Sita wewe chagua mwingine umwanike, staili ya TWANGA KOTE KOTE.Fisadi ni fisadi ashughulikiwe ipasavyo.