Nimependa ulivyoandika DSN juu ya mada hii ya kibanda,wasiwasi wangu asije akawa ni Salva Rweyemamu wa pili kumbe nyuma ya pazia anatumiwa na akina EL,vinginevyo huyu acha aje na hicho kitabu chake,itajulikana jinsi ya kumjibu na kama hatakuwa na hoja zenye nguvu atakuwa amejimaliza.Naamini wengi hawakupenda jinsi Sitta na kundi lake walivyolikimbia suala la Richmondi tena wakati watz wanasubiri waone mwisho.Salva alichumia tumbo alipotumika kuwachafua waliokuwa wanapambana na kikwete hasa Salim Ahmed Salim anachotaka kukifanya kibanda sidhani kama kinatofauti na mbio za mapema za urais kwa hao mafisadi kuelekea 2015 but all in all let him bring the book.