kipanga mlakuku
Member
- Jun 9, 2011
- 92
- 53
Mhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima ambaye pia ni mwenyekiti wa jukwaa la Wahariri nchini Bw Absolom Kibanda ametoa matamshi makali dhidi ya Samwel Sitta kwa kumwambia kuwa yeye (Sitta) si mpambanaji kama anavyojifanya lakini kali ya yote amemwambia kwasasa hana muda wa kupoteza kulumbana na Samwel Sitta bali yeye yuko hatua za mwisho kuandaa kitabu kitakachoeleza uovu wa Samwel Sitta ikiwa ni pamoja na kuhusika kwake na UFISADI WA KUTISHA NCHINI wakati akiwa spika wa Bunge la tisa.