...Mhhh! sidhani Mkuu,sie-wengine humu wajombaX2/ma-punju tu bwana sanasana wikiendi enzi hizo ilikuwa kule 'silver sands' wakati inamilikiwa na UDSM au pale Mlimani park.lazima tutakuwa tushakutana Langata enzi zile wakati baba yao akina SHUSHU alipokuwa anaimiliki