Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Huwezi kuzungumzia ma celebrities wa bongo bila huyu...ile miaka ya 90's alikuwa anatingisha sana
sasa hivi ni al marhum
sasa naouliza je Caro nyimbo yuko wapi jamani maana ile saluni yake imegeuzwa kuwa pharmacy
sasa hivi ni al marhum
sasa naouliza je Caro nyimbo yuko wapi jamani maana ile saluni yake imegeuzwa kuwa pharmacy