Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Jamani huyu jamaa mkwere mi namshangaa..ni tabia ya mjinga kujichekesha chekesha wakati nchi inaomboleza na dhiki...huyu jamaa ni king'ang'anizi,ile mwaka 95 mwl alijua alikuwa hafai,akatumia kigezo cha ukomavu kisiasa,kumbe alimaanisha ni bogus..sasa watz hatukusoma maneno yale,au pengine ni kwa sababu tumekuwa tukichaguliwa na ccm......Sikupendi kikwete..hukustahili kuiongoza tz..rais gani asiye na mamlaka?asiyechukua hatua?kacheze ngoma na vimwana..ndicho uwezacho!