Bilabaye, umma gani unaouzungumzia?. Sisi sio kama waMisri, waTunisia au Walibya!. Sisi ni watulivu, watu wa amani, wanyenyekevu na watiifu kwa serikali yetu!.
That's what wazee wa posho thought! Kumbe the missing link ilikuwa kiberiti tu. Madaktari wamewasha, serikali haonekani kuwa interested hata kujua fire extinguishers zipo ama la. Na wanavyozidi kujivuta (serikali) ndiyo moto unazidi kukulea.
Pasco mtoto wa mkulima alitoa masaa 48, tena akiwa kwenye kiyoyozi ukumbi wa Karimjee, what happened? Kashia kupiga mguu Muhimbili chini ya feni. Next time atawatafuta madaktari chini ya mwembe!