Unarejea safari kama hivi, chumbani kwako jamaa amepumzika kitandani pako na "mai waifu wako" ....hana wasi hata kidogo!.
napembeni mwa mulango kama nyumba ya biita mura mapanga na mshoka mura mutu siatakufa kabisaaWana starehe vipi na mlango wazi, kazi kweli kweli, mbaya zaidi sioni madirisha ya dharura.
Duuh! kama ni hivyo basi Tusker Bariiidi zitakuwa zimekuathiri sana ndugu yanguMimi nikimkuta M2 anakula Wife...Ntaishia kuwaambia... "Acheni utani jamani,Acheni utani jamani"... "Mbona mnataniana jamani"..."Acheni utani..."