Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,742
- 29,143
Lakini wanakubali kulea na kuridhia ushoga na mashoga ilimradi uwe maislamAngalia akili zako za kitoto ,wakianza kuwapiga walevi utasema tena ,🤣🤣yaani useme kila anayefanya kosa wampige mpaka wamuue ...Mtakujw tena kusema waislamu ni makatili wana hukumu watu.
Zanzibar hawawezi kukubali kujengwa makanisa ya kitapeli kama hawa manabii huleta ujinga kwa watu.🤣🤣
Zanzibar kuna makanisa na wakristo acha uongo wako juzi kati tu hapa walikuwa na mgogoro juu ya viongozi wao, yaani wakristo wanagombana wenyewe.
Hakuna mtu kauliwa kisa dini yake hii ni hostility tension baina ya bara na zenji , wale wanashangaa wakiitwa wao ni mashoga na wale wanajua wabara sisi ndio tunaharibu mji wao.
Angalia unachoandika leo hata mikoani hapa Tanzania watu wanasemana kutokana na ukanda na mikoa ,jambo la kawaida .
Shehe Ponda keshawaponda kwa kumtumia Quest katika kuhamasisha utalii nchini humo. Huyo jamaa ni gay.Ngoja shee Ponda akusikie😁
mkuu umewahi pitia rekodi ni nani wanaongoza kwa kuhamia dini nyingine kati ya dini hizo....hapo ndo ulete nani wana hofu
Mapenzi na Ndoa za Jinsia Moja limekuwa tatizo katika nchi zote hapa duniani kwa sasa, hakuna nchi hata moja ambayo imesalimika na suala hili kwa sasa. Ni suala la muda tu, yatupasa kujiandaa kisaikolojia. Whether you like it or not.Hakuna sensa rasmi ya mashoga, lakini kila mtaa Unguja una utiriri wa hao watu, wakiishi kwa raha zote na jamii ya kizanzibar imewaelewa na kuwachukulia poa tu na maisha yao.
huu uongo sasa mkuu!Tena walikuwa wamevaa kanzu,barakashia na makubazi haaaaaa.
😂😂😂 daaah!ZNZ kuna mpaka Rais Mstaafu ambaye ni shoga, alikuwa anapumuliwa na waziri mmoja wa Serikali ya Muungano kutoka huko huko ZNZ. Aliposstaafu na mke akamkimbia. Ushoga Zanzibar siyo issue kabisa na ndiyo maana yule Polisi ambaye kulikuwa na ushahidi wa video ya namna anavyoingiliwa huku amevaa shanga aliachiwa na kazi anaendelea kuchapa kikosini. Kwenye wanaume 5 ZNZ watatu tu ndiyo wako rijali
Kila familia kule migombani kuna shoga na taahira moja 🤣🤣🤣...Noel mushi ,yule aliyabdili jinsia kabisa na yule aliyeolewa list ni ndefu.Lakini wanakubali kulea na kuridhia ushoga na mashoga ilimradi uwe maislam
Pathetic
Kumbe! 😳
Cha ajabu walikamatwa Kwa kosa hilo hilo 😂😂 wakaamua kuwasaidia polisi ushahidi. Lakini Bado tulisikia kuwa uchunguzi unafanyika ili kupata ushahidi 😂😂Zanzibar kwa ajabu sana juzi juzi kuna mahabusu walikuwa wanafanyiana mambo ya kishetani ndani ya sero tena bila aibu
Ndio hali halisi.Hu
huu uongo sasa mkuu!
Unakuja na kobazi mahabusu.Unaingia na kobazi mahabusu?
🤣
Kwani unadhani ni siri!! Labda ni wewe tu hujui😂😂😂 daaah!
Ukikamatwa ukaulizwa haya tuonyeshe huyo raisi na ushahid?
Tuwe na akiba jamani
MakubwaZNZ kuna mpaka Rais Mstaafu ambaye ni shoga, alikuwa anapumuliwa na waziri mmoja wa Serikali ya Muungano kutoka huko huko ZNZ. Aliposstaafu na mke akamkimbia. Ushoga Zanzibar siyo issue kabisa na ndiyo maana yule Polisi ambaye kulikuwa na ushahidi wa video ya namna anavyoingiliwa huku amevaa shanga aliachiwa na kazi anaendelea kuchapa kikosini. Kwenye wanaume 5 ZNZ watatu tu ndiyo wako rijali
haina shida...mbna umekasirika mpaka mitusi,....... kuona ukweli kuwa wanaobadili wengi ni upande upiView attachment 2843320
ENDELEENI kuuomboleza huku mmebana marinda. Mnavalisha midoli sanda na kuipaka tomatosos nakubaki kulialia mbele ya camera huku mmebanamikundu.
Kufeni zenu kwa halaiki.
Nyau nyie.
God bless and PROTECT Israel
Israel FOREVER
Israel the LAND JEWS the people.
ITR