99% ya Wazanzibar ni washika dini, kila mtaa kuna nyumba ya ibada, utiriri wa walevi, mateja, malaya na mashoga!

Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.

Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.

Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
Mkakati wa wakiristo kutoka bar kwa Zanzibar
1. Kujenga mabaa kwa wingi
2. Kujenga makanisa kila mtaa
MKAKATI WA WAZUNGU WAKIRISTO
1. Kuwa na mkakati kueneza ushoga
2. Kuharibu mila za Zanzibar

KUPAMBA NA HAYO
2. Mkakati wa Serekali
1. Kuhakikisha vitendo vinakoma
Mkakati wa masheikh
Kuwapa waumini wao athari ya pombe na uzunifu

3.Mkakati wa wanaharakati wa Kiislamu
Kupambana kisheria kuhakikisha haya mambo yanafanikiwa na kufungwa baa zote.

Ijumaa lkareem
Ukhti Malaaria 2
Mpenda haki na mtetezi wa wanyonge
 
Uislam maana yake absolute submission kwa Allah na Pacha wake Muhammad na sio vinginevyo. Muislam siku zote yeye ndiye mwenye haki na anaye onewa ila sio mtu wa Imani nyingine.

Wao wanaruhusiwa kubadili makanisa kuwa misikiti ila sio vice versa eg(Hagia Sofia) lilopo Istanbul pamoja na makanisa mengine kibao ya kale. Waislam wanafundishwa chuki dhidi ya wakristo na wayahudi toka wakiwa waogope (madrasa) na kwamba wao na dini yap pekee ndiyo wenye haki.

[Qur’an 5:51] O you who believe, do not take certain Jews and Christians as friends; these are friends of one another. Those among you who ally themselves with these belong with them. God does not guide the transgressors.

Sahih Bukhari (2922)-The last hour would not come unless the Muslims will fight against the Jews and the Muslims would kill them until the Jews would hide themselves behind a stone or a tree and a stone or a tree would say: Muslim, or the servant of Allah, there is a Jew behind me; come and kill him; but the tree Gharqad would not say, for it is the tree of the Jews.
 
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.

Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.

Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
Watu wengi wazanzibari na wageni hawaielewi zanzibar. Zanzibar uislaam ni utamaduni tu sio kwanba ni wacha mungu. Yaani utamaduni wao ni pamoja na kushika mtindo wa maisha ya kiislaam. Utaona misikiti kila mtaa na watu wanasali ila sio waongofu wanafanya maovu ya kila aina.
 
Dini ile inalindwa kwa hofu. Waumini wengi hawajui wanachokifuata hivyo akija mtu wa kuwafungua anaweza kubadili upepo ndio maana wanapingwa.

Nakumbuka niliwahi kumpelekea injili mmoja akajifanya hajui kusoma na hasikii vizuri. Lengo ni asisikilize maana hajui kitu na amepigwa biti asisikilize vitu vipya asijekugeuzwa.
:D :D :D :D :D :D :D :D mkuu umewahi pitia rekodi ni nani wanaongoza kwa kuhamia dini nyingine kati ya dini hizo....hapo ndo ulete nani wana hofu
 
Bisha tu hapa JF, lakini ukweli unaujua. Chuki ya wazanzibar iko dhidi ya imani fulani tu lakini haiko dhidi ya uovu mwingine wowote.

Nani asiyejua kuwa Zanzibar ni kitovu cha utalii wa madawa ya kulevya katika ukanda huu wa Afrika Mashariki?

Kuna mtaa gani hapa Unguja uliokosa nyumba ya ibada, walevi, malaya, mateja na mashoga? Sasa kwanini huo uovu ushamiri?

Ni sheria gani hapa Zanzibar inayokataza uwepo wa imani zingine za dini? Kwanini chuki dhidi ya imani nyingine ishamiri?

Ni sheria gani hapa Zanzibar inayobariki biashara ya umalaya, utumiaji wa madawa ya kulevya, ushoga?

Ni vipi utamaduni wa kijamii au kidini wa kizanzibar unaweza kujenga chuki dhidi ya imani zingine za kidini na hapo hapo ukaweza kuvumilia na kuukumbatia ushoga, ungese, ulawiti na umalaya?
Kuna kitu hakipo sawa Zanzibar.
Kuna yule dogo Mchezaji nilishangaa alipokua akitumiwa kuvutana na viongozi wake, wakamshauri aweke mazingira yanayoonyesha jamaa alikua akitaka kumla, alivyo fala hakuona hatari, yeye akatengeneza mazingira ya kuliwa kabisa halafu lile Jimama ambalo ni Wakala wake likaenda kwenye TV likijifanya likiongea kwa uchungu kuwa lenyewe lina mtoto wa kiume na linajua uchungu wa mtoto wa kiume hivyo aliyofanyiwa yule mchezaji yamemuumiza sana. Wanaobeza ni kwa vile hawana watoto wa kiume.
Kwa Zanzibar mchezo ka kupakuana kwao ni sawa tu na mainland wanavyo bet
 
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.

Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.

Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
ZNZ kuna mpaka Rais Mstaafu ambaye ni shoga, alikuwa anapumuliwa na waziri mmoja wa Serikali ya Muungano kutoka huko huko ZNZ. Aliposstaafu na mke akamkimbia. Ushoga Zanzibar siyo issue kabisa na ndiyo maana yule Polisi ambaye kulikuwa na ushahidi wa video ya namna anavyoingiliwa huku amevaa shanga aliachiwa na kazi anaendelea kuchapa kikosini. Kwenye wanaume 5 ZNZ watatu tu ndiyo wako rijali
 
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote, unaweza usipewe hata nyumba ya kulala wageni haijarishi una pesa kiasi gani mfukoni. Lakini ukisema wewe ni mgeni/mtalii umekuja kuponda raha zote safi na chafu basi kwa haraka sana utauziwa kila kitu unachokitaka kuanzia pombe, ngono mpaka madawa ya kulevya. Cha kushangaza sana waratibu wa hayo yote ni washika dini wazuri.

Hutasikia danguro likichomwa moto wala klabu ya pombe ikivunjwa Zanzibar. Mpaka sasa hakuna kumbukumbu zozote za wazi zinazoonyesha teja, mlevi, malaya au shoga kupigwa, kuteswa au kuuawa Zanzibar, lakini kuna kumbukumbu za wazi za viongozi au waumini wa dini fulani kuuawa, kupigwa, kunyanyaswa na kuteswa huku mali zao zikiharibiwa.

Kuna kitu bado sijakielewa vizuri Zanzibar. Nadhani pia Zanzibar inapaswa ibadilishe mitazamo yake.
Sasa shetani unataka kwenda jutawala mashetani wenzako?
 
Mkuu upatapo nafasi Funga na Kuomba kwa ajili ya Zanzibar! Siyo kuwalaumu, wamefungwa na Shetani kuliko unavyofikiri.
Na kwenye Dini yao ndiko alikowakamatia akili.

Hali ni mbaya huko! Siyo muda mrefu wataanza kufanya hayo hadharani.
Afadhari Watu wazima ndiyo wangekuwa wanafanyiana hayo, lakini inasemekana Watoto, Vijana wadogo, Vijana ni Wahanga wa kufanyiwa uchafu huo.

Mungu ikumbuke Zanzibar!🙏🙏
 
Back
Top Bottom