89% ya waliofariki na Corona wametoka bara la Ulaya, Marekani, China na Iran, huku 0.5% vikitoka Afrika na 0.2% weusi tii! Then why lockdown in Africa

Ku
Watu kama wewe mnaokuja na data za kupika huwa mnauudhi sana.
Kuna primary source of data na secondary source of data mm natumia secondary source of data ss sijui nimepika data vipi ingia worldometer, sky news, CNN news, Daily news, Abcnews, DW, VoA, Aljazeera utajua napika au la
 
Kiingereza chenyewe

Vipi wewe mbona mshamba Sana? Tafuta basi na wewe data zako nimekulazimisha kufuatilia za kwangu?! A cha basi uzuzu sayansi ni dynamic inayohitaji maswali utafiti ubunifu na uthubutu sasa ww hujielewi utabakia hvy hvy
Ushamba ni jadi yangu and I am super proud kuwa ni mshamba.

Wakushangaza ni wewe wa mjini unaeleta data za uongo. Huwezi kuta mshamba anadanganya kama wewe. Kumbuka hilo.
 
Ku

Kuna primary source of data na secondary source of data mm natumia secondary source of data ss sijui nimepika data vipi ingia worldometer, sky news, CNN news, Daily news, Abcnews, DW, VoA, Aljazeera utajua napika au la
Onesha nukuu kwenye hizo "sources" zako neno "weusi tii" liko wapi kama si uzushi (ushuzi) wako tu.
 
Ukiendelea kubishana na mpumbavu nawe utakuwa mpumbavu
Naam hujakosea. Umeuonesha wazi upumbavu wako na hapa sibishani na wewe bali nnakupa darsa. Ili siku zingine ukitaka kuja na uzushi wako ujifikirie mara mbili mbili.

Mpo wengi wapotashaji kama wewe hapa JF na nikiwabamba tu siwaachi. Kumbuka hilo.
 
Wee

Www ni kilaza haujui nikueleqesheje ww kilaza??: kwenye hyo hesbu sijahusisha mataifa Kama Canada, South Korea, Japan Cuba, Yaani huelewi kweli ww kilaza kweli
Utakuja na kila sababu lakini ukweli ni kuwa umetaka kutuaminisha upuuzi wako.

Haya, namba za huko ulipopataja hujaiweka na hiyo "weusi tii" umeitoa wapi?

Ficha upumbavu wako...
 
Naam hujakosea. Umeuonesha wazi upumbavu wako na hapa sibishani na wewe bali nnakupa darsa. Ili siku zingine ukitaka kuja na uzushi wako ujifikirie mara mbili mbili.

Mpo wengi wapotashaji kama wewe hapa JF na nikiwabamba tu siwaachi. Kumbuka hilo.
Ww umeolewa na Mme wako mzungu au unaishi kwa wazungu maana sioni mantiki ya wewe kubishana na ukweli je wajua Jana tu Marekani wamefarikiwatu 2487
 
Ukifuatilia kwa umakini epidemiology ya ugonjwa huu haiziathiri ngozi nyeusi zilizokulia Africa zinazopambana na Virus wengi walioko kwenye Vumbi tunalokutana nalo pengine Vumbi hili lina particles ndogondgo ambazo hazitakiwi na mwili na hivyo basi kinga za miili yetu ziko stressed kuingia vitani kila siku yaani ni kinga korofi zilizo tayari kwa Vita kila dakika kuulinda mwili maana tunazikorofisha kila kukicha na zenyewe hazichoki

Kwa lugha rahisi ya kisayansi ni kwamba Virus ni single celled organism prokaryotes, ambaye hawezi kuishi nje ya host

Kosa walilolifanya wazungu ni kuliondoa vumbi ambalo lina mahusiano ya moja kwa moja na maisha yet u

Sayansi inasema hawa Virus huwa wako katika hali ya kujitafutia chakula ambapo basi virus hawa huona mwili wa binadamu au viumbe wengine Kama sehemu ya kutafuta chakula kukuua huwa si kusudio Lao

Kwa hiyo viongozi wa Afrika ruhusuni tu watoto waende shule na watu waendelee na maisha yao

Wazungu wafikirie upya uhifadhi wa Mazingira yao
Ni theory au scientific approved?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuja na kila sababu lakini ukweli ni kuwa umetaka kutuaminisha upuuzi wako.

Haya, namba za huko ulipopataja hujaiweka na hiyo "weusi tii" umeitoa wapi?

Ficha upumbavu wako...
Wewe nikikuuliza tu unielezee Pathogenesis Covid-19 haujui ss ntabishana vipi mtu ambaye ni ignorant Kama wewe
 
Kwa magonjwa ya kuambukiza kama hili ni suala la muda, wiki chache zilzopita tuliaminishwa huu ugonjwa hauwezi kuingia Afrika sababu ya joto, baadaye tukaambiwa eti watu weusi hawawezi kuupata, baadaye wakasema unapata tu waafrika waliotoka ulaya, sasa hivi goli limehamishwa tunasema idadi ya vifo ni vichache....ukitumia akili utaona hali ya jana ilikuwa bora kuliko ya leo. Yapo magonjwa mengi yanayoua, ila huu unaua kwa haraka kwa sababu hakuna tiba wala dawa toyote inayoleta unafuu. Tutumie akili na kuchukua tahadhari kuliko kupotoshana.
 
Hivi umewahi kuona wakifa watu 100 tunavyopataga Shida ya kuwazika hadi tunaomba michango kwa Wananchi. Au hujui Laki inamaanisha Elfu Mia
Sijasoma ila lockdown is pointless na upuuuzi wa hali ya juu hasa Africa. Dunia nzima kusimama kisa watu laki1 wamekufa ni ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nikikuuliza tu unielezee Pathogenesis Covid-19 haujui ss ntabishana vipi mtu ambaye ni ignorant Kama wewe
Kijana wewe baki na ujanja wako na kutafuta pakutokea. "Weusi tii" umeitoa wapi? Sudan ya Kusini?

Unataka nikufundishe maana ya "pathogenesis"? Au unataka nikufundishe maana ya "covid-19? Usione haya, sema tu ntakupa darsa. Anza na hiyo...

Pathogenesis is the process by which an infection leads to disease. Pathogenic mechanisms of viral disease include (1) implantation of virus at the portal of entry, (2) local replication, (3) spread to target organs (disease sites), and (4) spread to sites of shedding of virus into the environment.

Dunia ya leo ya IT unauliza swali la kijinga hilo? Hata mjukuu wangu wa darasa la nne atakujibu huku anacheza game. Pambaf.
 
Back
Top Bottom