miles45
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,468
- 8,289
Wakuu kutokana na majukumu kuwa mengi na kukimbizana na mikate yetu ya kila siku hivyo sita ongea mengi kutokana na muda.
Huu mpango wa 50/50 upo kwa ajiri ya mumnufaisha mwanaume ila wanaume tulio wengi ndio hatujui kinacho endelea kutokana na walio uleta kiwekeza nguvu nyingi kwenye kumpaka mwanamke mafuta kwa mgongo wa chupa kuwa huu mfumo utampa nafuu katika maisha.
Hivyo juhudi ndogo zimetumika kwenye kumueleza mwanaume atafaidikaje nao
Hivyo basi umemuacha mwanaume bado yupo enzi za analojia wakati tupo digitali...ila kuna wanaume wachache watundu wamejua jinsi gani ya kwenda nao ili wanufaike nao ila wengi wao wameishia kuishi maisha ya zamani wakitegemea huu mfumo bado ni rafiki kwao kwa kua na akili za zamani.
Kifupi huu mfumo wa 50/50 unamtaka mwanaume kuwa hivi
1: kutokua na kimbelembele na kuanzisha miradi ya familia. Mfano kwenye ujenzi wa nyumba hakikisha ushiriki wa mkeo upo 50/50 kama nyumba inathamani ya milioni 100 basi kila mtu awe amechangia milioni 50 hii itakufanya hata siku hakimu anapo gonga nyundo kuwa hii nyumba mgawane 50/50 unapata sura ya tabasamu huku ukifikiria ni jinsi gani utakula bata na yule mtoto wa chuo mwenye tako na shape mjini na sio kulia na kulalamika lalamika umeonewa. So punguza kihelehele hakuna tuzo ya kumfurahisha huyo mwanamke ila utalia pekeyako wakati watu wakiendelea kuisasambua mbususu ya mkeo kwa jasho lako.
2: Unakutaka uwe jasiri na mwepesi wa kukubaliana matokeo yoyote ...mfano kupokea taarifa kama mkeo anataka talaka yaani usisite na kutaka kujifanya wewe ndio fundi ndoa kumbe unahofea mali zako ....yaani mkeo akiomba tu talaka ..unamuuliza unataka ngapi ....? Akikujibu mbili mwambie mimi nakupa 3 nahisi zitakutosha ..yaani kivyo tu....ila ukijifanya wewe ndio kidume mwenye mapenzi ya kweli ndugu yangu mfumo unakukutaa na utakutema vibaya sana na utashangaa.
3:
4:
5:
Hizo pointi zitakuja hapo chini.
Huu mpango wa 50/50 upo kwa ajiri ya mumnufaisha mwanaume ila wanaume tulio wengi ndio hatujui kinacho endelea kutokana na walio uleta kiwekeza nguvu nyingi kwenye kumpaka mwanamke mafuta kwa mgongo wa chupa kuwa huu mfumo utampa nafuu katika maisha.
Hivyo juhudi ndogo zimetumika kwenye kumueleza mwanaume atafaidikaje nao
Hivyo basi umemuacha mwanaume bado yupo enzi za analojia wakati tupo digitali...ila kuna wanaume wachache watundu wamejua jinsi gani ya kwenda nao ili wanufaike nao ila wengi wao wameishia kuishi maisha ya zamani wakitegemea huu mfumo bado ni rafiki kwao kwa kua na akili za zamani.
Kifupi huu mfumo wa 50/50 unamtaka mwanaume kuwa hivi
1: kutokua na kimbelembele na kuanzisha miradi ya familia. Mfano kwenye ujenzi wa nyumba hakikisha ushiriki wa mkeo upo 50/50 kama nyumba inathamani ya milioni 100 basi kila mtu awe amechangia milioni 50 hii itakufanya hata siku hakimu anapo gonga nyundo kuwa hii nyumba mgawane 50/50 unapata sura ya tabasamu huku ukifikiria ni jinsi gani utakula bata na yule mtoto wa chuo mwenye tako na shape mjini na sio kulia na kulalamika lalamika umeonewa. So punguza kihelehele hakuna tuzo ya kumfurahisha huyo mwanamke ila utalia pekeyako wakati watu wakiendelea kuisasambua mbususu ya mkeo kwa jasho lako.
2: Unakutaka uwe jasiri na mwepesi wa kukubaliana matokeo yoyote ...mfano kupokea taarifa kama mkeo anataka talaka yaani usisite na kutaka kujifanya wewe ndio fundi ndoa kumbe unahofea mali zako ....yaani mkeo akiomba tu talaka ..unamuuliza unataka ngapi ....? Akikujibu mbili mwambie mimi nakupa 3 nahisi zitakutosha ..yaani kivyo tu....ila ukijifanya wewe ndio kidume mwenye mapenzi ya kweli ndugu yangu mfumo unakukutaa na utakutema vibaya sana na utashangaa.
3:
4:
5:
Hizo pointi zitakuja hapo chini.