I gotta give my fu-k offsNilidhani kuna cha maana ulichoandika kumbe porojo tupu, faki yu kwa tupac si ilikuwa ndio salamu yake?
Habari za asubuhi wana JF wenzangu, natumaini mmeamka salama na mu wazima wa afya.
Tujikumbushie
Kama mtakumbuka vizuri Mmarekani mweusi Tupac Shakur aliyekuwa gwiji wa muziki wa hip hop nchini Marekani ambaye alifariki dunia mnamo tarehe 13 Septemba,1996, siku sita baada ya kupigwa risasi Jijini Los angels, Nevada Marekani akiwa anatoka kuangalia mpambano wa masubwi wa Mike Tyson, akiwa na bodyguard wake pamoja na aliyekuwa CEO wa Death Row Records, Surge Knight.
Mane no yenyewe ni "F**K YOU". Hadi umauti unamkuta hospitalini,siku sita tokea tarehe 7 Septemba,1996,jamaa hakuweza kufungua kinywa chake tena kwani alikuwa kwenye deep coma.
Source: Rolling Stone.com
My comment
Linapofikia suala la kukaribia kukata roho tumkumbuke Mola watu,Tuacheni masihara, kwani hakuna ajuaye anapoelekea baada ya kifo.
ni TUPAC AMARU SHAKUR na si TUPAC OMAR SHAKUR
Haya Mkuu tumekusikia, lakini kuna kasoro kidogo kwenye maelezo yako
1. Pac aliuawa Las Vegas, Nevada na sio Los Angeles ambayo iko California.
2. Kwenye gari alikuwa Pac na Suge Knight peke yao, Bodyguard wake alikuwa kwenye gari iliyokuwa nyuma yao.
Kuna washenzi wa tabia wanaamini 2pac hajafa. Eti anarudi mwaka huu.
Haya Mkuu tumekusikia, lakini kuna kasoro kidogo kwenye maelezo yako
1. Pac aliuawa Las Vegas, Nevada na sio Los Angeles ambayo iko California.
2. Kwenye gari alikuwa Pac na Suge Knight peke yao, Bodyguard wake alikuwa kwenye gari iliyokuwa nyuma yao.
Kuna washenzi wa tabia wanaamini 2pac hajafa. Eti anarudi mwaka huu.
I gotta give my fu-k offs
fu*k you to the San Francisco police department
fu*k you to the Marin County Sheriff department
fu*k you to the F.B.I
fu*k you to the C.I.A
fu*k you to the B-u-s-h
fu*K you to the America
fu*k you to all you redneck prejudice mother ----ers
And fu*k you
fu*k Y'all
Punk gay sensitive little dick bastards
2pacalypse mother ----in' know
Y'all can kiss my ass and suck my dick
And my uncle Tommy's balls
fu*k Y'all
Punks, punks, punks, punks, punks
Call the cops when u see tupac
Kwa wale wa kitengo cha "weka picha"
umetisha! Sikuwahi kuziona hizi
pole, unaishi kijiji gani? hivi hata kazi ya google bado hamjui ni nini?