Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,920
Rais awe kijana.Wazee wengi wa Tanzania wana mawazo mgando.
Kwa mfano, umoja/baraza la vijana, wanawake, wazazi ... haya yote ni mawazo ya nani? Nani aliamua miundo hii ya vyama?
So, obsolete!!! kila chama kinafuata miundo ya kizamani sana.
UKITAKA KUFANYA KITU UNAAMBIWA WAZEE WA CHAMA WAMEKATAA.
Ni wakati muafaka wazee wakae pembeni, hakuna mzee mwanasiasa mwenye jambo jipya, wote walikuwa kwenye system na wameshaharibu. Wakae pembeni.
Kwa mfano, umoja/baraza la vijana, wanawake, wazazi ... haya yote ni mawazo ya nani? Nani aliamua miundo hii ya vyama?
So, obsolete!!! kila chama kinafuata miundo ya kizamani sana.
UKITAKA KUFANYA KITU UNAAMBIWA WAZEE WA CHAMA WAMEKATAA.
Ni wakati muafaka wazee wakae pembeni, hakuna mzee mwanasiasa mwenye jambo jipya, wote walikuwa kwenye system na wameshaharibu. Wakae pembeni.