Jambo linalonishangaza ni kwamba more than 70 ya population ya Tanzania walizaliwa baada ya uhuru, wamezaliwa na kukulia kwenye mazingira ambayo (naamini) udini, ukabila, umri havikuwa issue hasa kwenye siasa. Sasa haya maneno ya u-mkoa, ukabila, udini wametoa wapi? Na kwanini? Tanzania tunakwenda mbele au tunarudi nyuma?
Nitegemea hao wanaobudu siasa za ujana wawe wanahubiri kuhusu kutengeneza rocket, kujenga our own silicon Valley, lakini day in day out we are being subjected to this medieval politics! Inaudhi.
Nitegemea hao wanaobudu siasa za ujana wawe wanahubiri kuhusu kutengeneza rocket, kujenga our own silicon Valley, lakini day in day out we are being subjected to this medieval politics! Inaudhi.