STEIN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,770
- 553
Mzee MMM,
Naungana na wewe issue hapa si kuwa watZ wanahitaji kijana, Vijana wana nafasi yao na sisi tunahitaji rais ambaye atakuwa ni msafi kwa maana ya hana makundi wala harufu ya Rushwa na actualy waTZ au Chama chake kinaona anafaa.
Hatutaki Rais anataka urais kwa udi na uvumba, Rais anayetakka kuwa rais, bali Rais ambaye watu wanaona anafaa.
Mfano, Dk Slaa hata Ubunge hakuwahi kupigania, na wala hata kwenye kampeni hakuwa anatoa machozi wala kupiga magoti ili achaguliwe, bali alikuwa anawaambia atafanya nini endapo watamchagua kuwa Mbunge wao. Na kwa wanaokumbuka hata 2000 wakati wa uchaguzi aliwaambia wanchi wa jimbo lake kama hawatawachagua madiwani wa chama chake basi itakuwa haina maana yeye kuchaguliwa kuwa mbunge kwa sababu mambo mengi yanayohusu wananchi yako katika nganzi ya Halimashauri.
Tunakumbuka jinsi 2010 alivyishawishiwa kugombea lakini hakutaka kugombania urais ndani ya chama chake, shinikizo lilipozidi kutoka humu JF, Wasomi mbali mbali na wananchi wa Kawaida ndiyo Kamati kuu ya chadema ilipoona anafaa kugombea na kmwomba kugombea.
WaTZ ni mashahidi jinsi alivyopewa Kura nyingi na katiaka kuhujumu matokeo yale hata huyu Zito anayetaka Urais kila kikicha alikuwepo nadhani mnakumbuka gazeti la mwanahalisi liliripoti mawasiliano ya moja kwa moja kati ya wakuu wa TISS na Zito katika kuchakachua na kuhakikisha anagawa CDM katika msimamo wa kutotambua Urais wa JK
Ni bora mtu mwingine aonekane anafaa kutikoni Zito kwani amepwaya sehemu nyingi sana.
Naungana na wewe issue hapa si kuwa watZ wanahitaji kijana, Vijana wana nafasi yao na sisi tunahitaji rais ambaye atakuwa ni msafi kwa maana ya hana makundi wala harufu ya Rushwa na actualy waTZ au Chama chake kinaona anafaa.
Hatutaki Rais anataka urais kwa udi na uvumba, Rais anayetakka kuwa rais, bali Rais ambaye watu wanaona anafaa.
Mfano, Dk Slaa hata Ubunge hakuwahi kupigania, na wala hata kwenye kampeni hakuwa anatoa machozi wala kupiga magoti ili achaguliwe, bali alikuwa anawaambia atafanya nini endapo watamchagua kuwa Mbunge wao. Na kwa wanaokumbuka hata 2000 wakati wa uchaguzi aliwaambia wanchi wa jimbo lake kama hawatawachagua madiwani wa chama chake basi itakuwa haina maana yeye kuchaguliwa kuwa mbunge kwa sababu mambo mengi yanayohusu wananchi yako katika nganzi ya Halimashauri.
Tunakumbuka jinsi 2010 alivyishawishiwa kugombea lakini hakutaka kugombania urais ndani ya chama chake, shinikizo lilipozidi kutoka humu JF, Wasomi mbali mbali na wananchi wa Kawaida ndiyo Kamati kuu ya chadema ilipoona anafaa kugombea na kmwomba kugombea.
WaTZ ni mashahidi jinsi alivyopewa Kura nyingi na katiaka kuhujumu matokeo yale hata huyu Zito anayetaka Urais kila kikicha alikuwepo nadhani mnakumbuka gazeti la mwanahalisi liliripoti mawasiliano ya moja kwa moja kati ya wakuu wa TISS na Zito katika kuchakachua na kuhakikisha anagawa CDM katika msimamo wa kutotambua Urais wa JK
Ni bora mtu mwingine aonekane anafaa kutikoni Zito kwani amepwaya sehemu nyingi sana.