Mnyalu wa Kweli
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 233
- 55
Ukiangalia trend ya kisiasa hapa nchini unapata wazo kwamba mwaka 2015 CCM inaweza kuzikwa rasmi. Premise hii naijenga kutokana na ukweli kuwa 'voting age' inayokipenda Chama Cha Mapindizi 'ina-phase out'. Hata sasa hivi age inayokipenda Chama tawala ile inayoanzia 50 years na kuendelea. Wakuu huu ni mtizamo wangu
Hakuna Marefu Yasiyokuwa na Ncha
Hakuna Marefu Yasiyokuwa na Ncha