mnamo 2005, chadema walitumia vigezo vifuatavyo kuchagua wabunge wake wa viti maalum, nilipewa hint hizi na mmoja wa wakurugenzi wa chadema, hii inaondoa dhana kuwa hakukuwepo na ukabila
1.0, wakati chadema inakaribia uchaguzi mkuu na ikiwa imeamua kuweka mgombea wa urais, ilikuwa haina pesa hivyo ikaamua ku-raise funds kwa njia mbalimbali mojawapo ikiwa ni pamoja na kukopa, mh. ndesamburo alikubali kuikopesha chadema zaidi ya 100m, aliweka sharti mojawapo kuwa ni lazima nafasi za ubunge wa viti maalum kiti kimoja kiende kwenye familia yake, bahati ikamdondokea mheshimiwa lucy owenye
2.0, mheshimiwa grace kiwelu, alikuwa mbunge wa viti maalum kwenye bunge lililopita, inasemekana alifanya kazi sana ya kukitangaza chama, ikafika mahali ikamgharimu hata maisha yake ya ndoa, kwa kupewa talaka na mumewe,mkutano wa chadema likaagiza kuwa kwa sadaka aliyoitoa katika chadema, endapo zitatokea nafasi hata tatu za ubunge apewe moja, na kwa kuwa maagizo ya mkutano mkuu ndo ya juu kabisa na hutengulina mkutano mkuu nasi haikuwezekana kumwacha mama grace kiwelu
3. mama ana komu, yeye anaitwa maulida , ni mzanzibar aliyeolewa uchagani miaka mingi ilyopita, yeye ndo mwanzilishi wa chadema mkoani kilimanjaro, huyu mama alijitolea kwa hali na mali, kuna wakati alikuwa naishi moshi peke yake akipambana na mrema wakati huo mrema akiwa ccm na jogoo wa kilimanjaro, licha ya yote yeye ndiye alikuwa mgombe mwenza wa freema mbowe baada ya aliyekuwa mgombea mweza kufariki RIP. ingekuwa vigumu mno kumwacha kwa kuwa tu alikuwa ameolewa uchagani na kusahau michango yote aliyotoa akiwa chadema.
mheshimiwa halima mdee ni mwanasheria liyebobea, yeye ni mpare na wala siyo mchaga yeye alipambana na aakaonekana the best
pamoja na yote, wote hapo juu walishindanishwa kwa haki, na wakshinda kwa vigezo vilivyokubalika na wanachadema wote.
nawakilisha
mwikimbi-raia wa tanganyika asiye na itikadi yeyte anyafungwa na utaifa wake
1.0, wakati chadema inakaribia uchaguzi mkuu na ikiwa imeamua kuweka mgombea wa urais, ilikuwa haina pesa hivyo ikaamua ku-raise funds kwa njia mbalimbali mojawapo ikiwa ni pamoja na kukopa, mh. ndesamburo alikubali kuikopesha chadema zaidi ya 100m, aliweka sharti mojawapo kuwa ni lazima nafasi za ubunge wa viti maalum kiti kimoja kiende kwenye familia yake, bahati ikamdondokea mheshimiwa lucy owenye
2.0, mheshimiwa grace kiwelu, alikuwa mbunge wa viti maalum kwenye bunge lililopita, inasemekana alifanya kazi sana ya kukitangaza chama, ikafika mahali ikamgharimu hata maisha yake ya ndoa, kwa kupewa talaka na mumewe,mkutano wa chadema likaagiza kuwa kwa sadaka aliyoitoa katika chadema, endapo zitatokea nafasi hata tatu za ubunge apewe moja, na kwa kuwa maagizo ya mkutano mkuu ndo ya juu kabisa na hutengulina mkutano mkuu nasi haikuwezekana kumwacha mama grace kiwelu
3. mama ana komu, yeye anaitwa maulida , ni mzanzibar aliyeolewa uchagani miaka mingi ilyopita, yeye ndo mwanzilishi wa chadema mkoani kilimanjaro, huyu mama alijitolea kwa hali na mali, kuna wakati alikuwa naishi moshi peke yake akipambana na mrema wakati huo mrema akiwa ccm na jogoo wa kilimanjaro, licha ya yote yeye ndiye alikuwa mgombe mwenza wa freema mbowe baada ya aliyekuwa mgombea mweza kufariki RIP. ingekuwa vigumu mno kumwacha kwa kuwa tu alikuwa ameolewa uchagani na kusahau michango yote aliyotoa akiwa chadema.
mheshimiwa halima mdee ni mwanasheria liyebobea, yeye ni mpare na wala siyo mchaga yeye alipambana na aakaonekana the best
pamoja na yote, wote hapo juu walishindanishwa kwa haki, na wakshinda kwa vigezo vilivyokubalika na wanachadema wote.
nawakilisha
mwikimbi-raia wa tanganyika asiye na itikadi yeyte anyafungwa na utaifa wake