I am not surprised we all know that MEN CONTROLS THE WORLD but WOMEN CONTROLS MEN.... :A S tongue:
Haya ndo matunda ya Ubeijing, maana ukishamuingia mwanamke hajali yuko katika mazingira gani. Chama cha kutetea haki za wanaume chaja na hivo akina Kibaki-like watapata mkombozi.