Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Wajameni, hivi Rais akiwa anaongea, mke wake anaweza kudakia mbele za press conference? mzee alifurumushwa home akaambia haraka aende kwenye public kuongea kuwa yeye peke yake ndo mke na hakuna mwingine..nilimwonea huruma sana mzee kibaki...ivi nyie wanawake, kwanini wengine mnawaendesha sana wanaume hadi wanatia huruma na aibu hivi?..sasa hapa, Rais wa nchi anaonekana kama ni Lucy kibaki, na si mzee kibaki...ivi uyu mama kenya ana cheo gani?
Last edited by a moderator: